Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 73
Find out about Prof Shaba...the truth is simple and is out there.. The soon to be saint was the one responsible..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nobody will change my mind, this guy was killed! Really!Find out about Prof Shaba...the truth is simple and is out there.. The soon to be saint was the one responsible..
Nobody will change my mind, this guy was killed! Really!
Je madereva hawa wanaouwa watu kibao kila kukicha basi zima watu kumi ,saba,hamuwasemi ila wa viongozi ndo tu wanasababishiwa vifo?
Mkuu nakuunga mkono 75%. Kuna uzembe mkubwa wa madereva wetu. Halafu nyie kumwendesha mkubwa kazi. Inawezekana hata ajali ya Mwakyembe imesababishwa na yeye mwenyewe katika kum-force dereva wake awahi. Wakubwa wanaboa nyie, dereva anakuwa kama anamwendesha Mhindi bwana. Mwacheni Sokoine apumzike kwa amani
Katika nafasi ya Mwinyi weka jina Jumbe. Mwinyi hakuwa karibu kabisa kwenye mpangilio wa urithi.wewe wacha ubishi kama ungeliona hilo shati la mzee acagoda chiledi lilivyokuwa limejaa damu ndio ungeelewa ninasema nini...
mimi nimeliona lakini kwa wakati huo nilikuwa mdogo na uwezo wangu wa kufikiria ulikuwa mdogo
kwa ajili ilikuwa inajulikana wazi kuwa nyerere anamaliza mda wake na kulikuwa na kampeni nani atamrithi
kuna hawa watu 4 watakuwa ndio wahusika wakuu
1. cleopa msuya
2.kawawa
3.sas
4. mwinyi
Do you remember this:But why was he killed?
wewe wacha ubishi kama ungeliona hilo shati la mzee acagoda chiledi lilivyokuwa limejaa damu ndio ungeelewa ninasema nini...
mimi nimeliona lakini kwa wakati huo nilikuwa mdogo na uwezo wangu wa kufikiria ulikuwa mdogo
kwa ajili ilikuwa inajulikana wazi kuwa nyerere anamaliza mda wake na kulikuwa na kampeni nani atamrithi
kuna hawa watu 4 watakuwa ndio wahusika wakuu
1. cleopa msuya
2.kawawa
3.sas
4. mwinyi
Katika nafasi ya Mwinyi weka jina Jumbe. Mwinyi hakuwa karibu kabisa kwenye mpangilio wa urithi.
Do you remember this:
First day at the court Dumisani Dube was required to plea guilty or not guilty if he was involved in reckless driving and other five counts on reckless driving and causing the death of Edward Moringe Sokoine. Dube pleaded no guilty and begged to tell the truth. The case was adjounered for 5 days.
After 5 days Dube without even being questioned pleaded guilty on all counts. He was on the same day sentenced to 5 years in Prison.
The truth is Mr. Dube never even stayed in a prison in Tanzania. He was sent to UK, where he stayed part of his life.
He is now back in South Africa!
From the above I believe he [Sokoine] was killed!!!
IOBehind the making of this death were:
1. Mustafa Nyang'anyi
2. Rashidi Mfaume Kawawa
3. Cleopa Msuya
These guys are now wondering how they can meet this guy, as he is waiting for them; the days are numbered!