Tunamshukuru Okra ila aambiwe tu kuwa Derby ya Tanzania ni zaidi ya uchoyo/ubinafsi wake

Tunamshukuru Okra ila aambiwe tu kuwa Derby ya Tanzania ni zaidi ya uchoyo/ubinafsi wake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama asingekuwa mbinafsi kama mchezaji ninayemchukia kupita kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na utoto na upuuzi wake usiyobadilika, leo Okra alikuwa anatoa pasi kama tatu hivi za magoli.

Na kwa uwezo mkubwa na kipaji cha mwenye timu yake Clatous Chama, nina uhakika zote angefunga au hata kumuwekea mtu (hasa Phiri), na hii sare inayofurahiwa na Wachunba wa Wasudani isingekuwepo.

Tafadhali mrekebisheni upesi sana.
 
Kama asingekuwa Mbinafsi ( Mchoyo ) kama Mchezaji ninayemchukia kupita Kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na Utoto na Upuuzi wake usiobadilika leo Okra alikuwa anatoa Pasi kama Tatu hivi za Magoli na kwa Uwezo mkubwa na Kipaji cha Mwenye Timu yake Clatous Chama nina uhakika zote angefunga au hata Kumsetia Mtu ( hasa Phiri ) na hii Sare inayofurahiwa na Wachunba wa Wasudani isingekuwepo.

Tafadhali mrekebisheni upesi sana.
Kolo hukosi sababu tumbafu
 
Kama asingekuwa Mbinafsi ( Mchoyo ) kama Mchezaji ninayemchukia kupita Kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na Utoto na Upuuzi wake usiobadilika leo Okra alikuwa anatoa Pasi kama Tatu hivi za Magoli na kwa Uwezo mkubwa na Kipaji cha Mwenye Timu yake Clatous Chama nina uhakika zote angefunga au hata Kumsetia Mtu ( hasa Phiri ) na hii Sare inayofurahiwa na Wachunba wa Wasudani isingekuwepo.

Tafadhali mrekebisheni upesi sana.
Ushindi Wa simba kwa Yanga huwa ni sare tu, hilo lipo uchi
 
Natoa msisitizo kamati ya massa sabini na mbili wachukue hatua bila kuchelewa kwakitemdo Cha Chama kumkanyaga Kwa maksudi Aucho bila mpira na refarii hakuweza kumchukulia hatua Clatus Chama.
We kama nani
Vipi rafu ya Fei?
 
Natoa msisitizo kamati ya massa sabini na mbili wachukue hatua bila kuchelewa kwakitemdo Cha Chama kumkanyaga Kwa maksudi Aucho bila mpira na refarii hakuweza kumchukulia hatua Clatus Chama.
Hili jambo sijalisikia kwa mashabiki japo liko wazi pamoja na la Feitoto kutakiwa kupewa kadi ya pili ya njano alipomvuta Habibu.
 
Hili jambo sijalisikia kwa mashabiki japo liko wazi pamoja na la Feitoto kutakiwa kupewa kadi ya pili ya njano alipomvuta Habibu.
Feitoto halina shida ni faulo ya kawaida, ila alichofanya Chama ni (unsports man faul) huwezi kumkanyaga mchezaji mwenzako bila kuwa na mpira. Bodi ya ligi kupitia kamati ya massa sabini na mbili ichukue hatua.
 
Natoa msisitizo kamati ya massa sabini na mbili wachukue hatua bila kuchelewa kwakitemdo Cha Chama kumkanyaga Kwa maksudi Aucho bila mpira na refarii hakuweza kumchukulia hatua Clatus Chama.
Yanga baada ya kupigwa goli, walionekana kuchanganyikiwa wakaanza kucheza rafu mbaya. Naamini Okrah pamoja na kumlaumu kwa makosa yake alitolewa mchezoni kwa rafu alizofanyiwa.

Hii game tungeweza kuimaliza kipindi cha kwanza.
 
Kama asingekuwa Mbinafsi ( Mchoyo ) kama Mchezaji ninayemchukia kupita Kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na Utoto na Upuuzi wake usiobadilika leo Okra alikuwa anatoa Pasi kama Tatu hivi za Magoli na kwa Uwezo mkubwa na Kipaji cha Mwenye Timu yake Clatous Chama nina uhakika zote angefunga au hata Kumsetia Mtu ( hasa Phiri ) na hii Sare inayofurahiwa na Wachunba wa Wasudani isingekuwepo.

Tafadhali mrekebisheni upesi sana.
.
Screenshot_20221024-003102.jpg
 
Kama asingekuwa Mbinafsi (Mchoyo) kama Mchezaji ninayemchukia kupita Kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na Utoto na Upuuzi wake usiobadilika leo Okra alikuwa anatoa Pasi kama Tatu hivi za Magoli na kwa Uwezo mkubwa na Kipaji cha Mwenye Timu yake Clatous Chama nina uhakika zote angefunga au hata Kumsetia Mtu (hasa Phiri) na hii Sare inayofurahiwa na Wachunba wa Wasudani isingekuwepo.

Tafadhali mrekebisheni upesi sana.
Mchezaji unafunga kagoli kamoja unavua shati unalambwa kadi ya njano na timu yako aishindi hii inaitwaje? Alijua mechi kamaliza na goli lake ndo spesho sana kuliko magoli yote duniani? Mbona Aziz ki kaweka freekik ya viwango lakini ata akuvua jezi? Uyo mchezaji wenu mwambieni aache utoto na kutaka sifa za kiboya mwambieni anapocheza na yanga awe na adabu kama mpira aujaisha asiwe kama mwehu ajue anakuwa anakutana na timu ya wababe wa dabi na sio ihefu wala dodoma jiji kwamba wamefunga wamemaliza mchezo
 
Mchezaji unafunga kagoli kamoja unavua shati unalambwa kadi ya njano na timu yako aishindi hii inaitwaje? Alijua mechi kamaliza na goli lake ndo spesho sana kuliko magoli yote duniani? Mbona Aziz ki kaweka freekik ya viwango lakini ata akuvua jezi? Uyo mchezaji wenu mwambieni aache utoto na kutaka sifa za kiboya mwambieni anapocheza na yanga awe na adabu kama mpira aujaisha asiwe kama mwehu ajue anakuwa anakutana na timu ya wababe wa dabi na sio ihefu wala dodoma jiji kwamba wamefunga wamemaliza mchezo
Hata Mimi nimeshangaa kweli, angefunga goli la Pili angevuwa bukta kabisa.
 
Kama asingekuwa Mbinafsi (Mchoyo) kama Mchezaji ninayemchukia kupita Kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na Utoto na Upuuzi wake usiobadilika leo Okra alikuwa anatoa Pasi kama Tatu hivi za Magoli na kwa Uwezo mkubwa na Kipaji cha Mwenye Timu yake Clatous Chama nina uhakika zote angefunga au hata Kumsetia Mtu (hasa Phiri) na hii Sare inayofurahiwa na Wachunba wa Wasudani isingekuwepo.

Tafadhali mrekebisheni upesi sana.
Mikia kila match hamkosi sababu,kwani hamjui kuwa always mchezaji yeyote anayefunga anakuwa selfish? Labda kama mmeanza kufuatilia mpira jana
 
Kama asingekuwa Mbinafsi (Mchoyo) kama Mchezaji ninayemchukia kupita Kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na Utoto na Upuuzi wake usiobadilika leo Okra alikuwa anatoa Pasi kama Tatu hivi za Magoli na kwa Uwezo mkubwa na Kipaji cha Mwenye Timu yake Clatous Chama nina uhakika zote angefunga au hata Kumsetia Mtu (hasa Phiri) na hii Sare inayofurahiwa na Wachunba wa Wasudani isingekuwepo.

Tafadhali mrekebisheni upesi sana.
Okra ni mtu? Maana kuna lugha fulani hili ndio jina la Bamia, ile mboga.
 
Mchezaji unafunga kagoli kamoja unavua shati unalambwa kadi ya njano na timu yako aishindi hii inaitwaje? Alijua mechi kamaliza na goli lake ndo spesho sana kuliko magoli yote duniani? Mbona Aziz ki kaweka freekik ya viwango lakini ata akuvua jezi? Uyo mchezaji wenu mwambieni aache utoto na kutaka sifa za kiboya mwambieni anapocheza na yanga awe na adabu kama mpira aujaisha asiwe kama mwehu ajue anakuwa anakutana na timu ya wababe wa dabi na sio ihefu wala dodoma jiji kwamba wamefunga wamemaliza mchezo
Afu kibaya zaidi ni dk za mwanzoni tu anavua,hujui mchezo utaendaje maana dk bado ni nyingi ukipata kadi?
 
Hizo siku kila siku kuna mechi? Ujinga sana aisee kuwa na waandishi na wachambuzi wa kipumbavu hivi. Hapo ni mechi 6 tuu ila utopolo wanaoandika utashangaa tena na ndani kuna madroo ya kutosha sasa jiulize hao Yanga nao wamewafunga Simba? Kwanini wasiendeleze kuwafunga sasa.
 
Afu kibaya zaidi ni dk za mwanzoni tu anavua,hujui mchezo utaendaje maana dk bado ni nyingi ukipata kadi?
Alitaka awafunge nyie Yanga ndo ilikua furaha yake hahaha hahah ila kazingua
 
Kwahy yanga walicheza rough nyingi ila simba ndo wakapewa kadi za njano nyingi?rudi shule ujinga siyo kilema.
 
Hizo siku kila siku kuna mechi? Ujinga sana aisee kuwa na waandishi na wachambuzi wa kipumbavu hivi. Hapo ni mechi 6 tuu ila utopolo wanaoandika utashangaa tena na ndani kuna madroo ya kutosha sasa jiulize hao Yanga nao wamewafunga Simba? Kwanini wasiendeleze kuwafunga sasa.
Wewe unaongozwa na hisia za kijinga bila kutumia facts,waandishi wanamaanisha kuwa simba hajapata ushindi ndani ya hizo siku haijalishi wamekutana Mara ngapi,iwe kila Siku au iwe Mara moja kwa mwaka..kingine mwenye hizo mechi tatu yanga kashinda Mara tatu na droo tatu,simba imeshinda mara ngapi?
 
Back
Top Bottom