GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Nahisi hata Angekunya ( Angeukweka ) kabisa.....!!!!!!!Hata Mimi nimeshangaa kweli, angefunga goli la Pili angevuwa bukta kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi hata Angekunya ( Angeukweka ) kabisa.....!!!!!!!Hata Mimi nimeshangaa kweli, angefunga goli la Pili angevuwa bukta kabisa.
Sasa huyo ki avue jezi atuonyeshe mbavu zake changaMchezaji unafunga kagoli kamoja unavua shati unalambwa kadi ya njano na timu yako aishindi hii inaitwaje? Alijua mechi kamaliza na goli lake ndo spesho sana kuliko magoli yote duniani? Mbona Aziz ki kaweka freekik ya viwango lakini ata akuvua jezi? Uyo mchezaji wenu mwambieni aache utoto na kutaka sifa za kiboya mwambieni anapocheza na yanga awe na adabu kama mpira aujaisha asiwe kama mwehu ajue anakuwa anakutana na timu ya wababe wa dabi na sio ihefu wala dodoma jiji kwamba wamefunga wamemaliza mchezo
Uliziona wapi? Kweli wanaume wanakwisha au wewe ni kama james?Sasa huyo ki avue jezi atuonyeshe mbavu zake changa
We nawe vipi
James jina la mtu hata ukiniita sina shidaUliziona wapi? Kweli wanaume wanakwisha au wewe ni kama james?
Kwani nimekuambia sio jina la mtu?James jina la mtu hata ukiniita sina shida
Sasa ulivyonifananisha na james ? Si binadamu kama mimi na jina zuri tu la kibiblia auKwani nimekuambia sio jina la mtu?
Nawaza kuwa wewe ni jamesSasa ulivyonifananisha na james ? Si binadamu kama mimi na jina zuri tu la kibiblia au
Ndugu yangu unawza nini kichwani mwako?
Yas JAMES wa kwenye biblia kabisaNawaza kuwa wewe ni james
Achana na huyo mchicha mwibaSasa ulivyonifananisha na james ? Si binadamu kama mimi na jina zuri tu la kibiblia au
Ndugu yangu unawza nini kichwani mwako?
Cry baby, he's just writing [emoji3]Hizo siku kila siku kuna mechi? Ujinga sana aisee kuwa na waandishi na wachambuzi wa kipumbavu hivi. Hapo ni mechi 6 tuu ila utopolo wanaoandika utashangaa tena na ndani kuna madroo ya kutosha sasa jiulize hao Yanga nao wamewafunga Simba? Kwanini wasiendeleze kuwafunga sasa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]Nahisi hata Angekunya ( Angeukweka ) kabisa.....!!!!!!!