boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Weeee who told u?? Wakat Joh anahangaika kuomba a-record Chid Benz alkuwa tayar ana track zake kadhaa
Kumbe wengi tumeliona hili, Joh makini kapotea sana, mashahiri Uchwaram
Si yeye tu, hata Roma nae anaiacha reli.
Nay wa mitego nae haeleweki, Fid q ndo kabisaaa kawa boya
Bongo hip hop inazidi kupwayaa.
Siku hizi hata stamina anajitahidiDuh kwl nilifikili ni Mimi tu kumbe tupo wengi kiukweli hiphop yabongo wamwachie fid tu wengine ni upumbavu tu Ku switch sio kosa but kupotea kwa kubadili mwelekeo we ukidhani ni kutafuta soko ndo kupotea zaidi.
Joh alikuwa my icon bt the way ana move now atapotea mapema sana ht km hatapotea legacy yake itakuwa cheap sana ukilinganisha na wasanii waliopotea km chid Benz nasema hivo kwa sababu moja tu hiphp ni muziki WA movement pia wenye utiifu mkubwa mno kihisia na kiuwezo unapoanza kuloose ni wachache sana wanao ona .
Joh kipind kile alikuwa so focused sana cohistance yake kwenye lines,rhythm NA flow na ideas sikutegemea tutakuja kuwa na joh WA kuimba "nikiona kimbinda me nadinda sijui nakitia mimba'
"Kata kata kata leta
Yan ovyo kabisa halafu cha kushangaza tittle za nyimbo mpk matukio flani yatokee ndo waimbe yan wamaprove kabisa Luna lack of creativity in hip hop nowadays .
Anyway tusiseme BT I miss that joh bhana wa sasa hv mhhhh aniache kidogo.....
[HASHTAG]#hphpScientist[/HASHTAG]
Mwandishi kagoma au!? Si walikuwa wanasema anaandiiwa na Nikki mbona na yeye anaimba mashudu tu?Kale Kamsemo ka watu kuwa anaandikwa naanza kuisikia harufu yake.
Mwandishi kagoma au!? Si walikuwa wanasema anaandiiwa na Nikki mbona na yeye anaimba mashudu tu?
watu wanafukuziana na soko mazee... waacheni.Jay Moe naye namuona anaanza kuja taratiibu ndani ya vibinda na muda si mrefu ataanza kudinda.
watu wanafukuziana na soko mazee... waacheni.
ilimradi soko linakihitaji wanachofanya.
HalooEti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.
Mbona ni track nzuri... Nimeipenda itakuwa sio mikato yako tu.Huo wimbo wa nicome angeimba mtu mwingine usingefika kokote. Kubebana tu
Katafte goma ya hawapendi kuniona kwenye Tv ya John tena hiyo ngoma imepigwa sana kwenye media au ulikua ujaja mjini 2004 hiyo
Huyo nilimuona kitambo tu anapotea! Tangu Juma Mchopanga atoe FAMOUS, sikumbuki ngoma yoyote ya maana kutoka kwake!Jay Moe naye namuona anaanza kuja taratiibu ndani ya vibinda na muda si mrefu ataanza kudinda.
Ni kweliNasikia alitoa wimbo na Davido.
Ni kweli?
Kama alivyosema mtoa mada. Ni kweli joh makini sio yule. Sababu ni yeye ndio maana nyimbo inapewa airtimeMbona ni track nzuri... Nimeipenda itakuwa sio mikato yako tu.
Unamaanisha mistari tunayoisikia ni impact ya kutoandikiwa ?Alikataa haandikiwi mashairi na Mdogo wake sasa na ajiandikie mwenyewe