Duh kwl nilifikili ni Mimi tu kumbe tupo wengi kiukweli hiphop yabongo wamwachie fid tu wengine ni upumbavu tu Ku switch sio kosa but kupotea kwa kubadili mwelekeo we ukidhani ni kutafuta soko ndo kupotea zaidi.
Joh alikuwa my icon bt the way ana move now atapotea mapema sana ht km hatapotea legacy yake itakuwa cheap sana ukilinganisha na wasanii waliopotea km chid Benz nasema hivo kwa sababu moja tu hiphp ni muziki WA movement pia wenye utiifu mkubwa mno kihisia na kiuwezo unapoanza kuloose ni wachache sana wanao ona .
Joh kipind kile alikuwa so focused sana cohistance yake kwenye lines,rhythm NA flow na ideas sikutegemea tutakuja kuwa na joh WA kuimba "nikiona kimbinda me nadinda sijui nakitia mimba'
"Kata kata kata leta
Yan ovyo kabisa halafu cha kushangaza tittle za nyimbo mpk matukio flani yatokee ndo waimbe yan wamaprove kabisa Luna lack of creativity in hip hop nowadays .
Anyway tusiseme BT I miss that joh bhana wa sasa hv mhhhh aniache kidogo.....
[HASHTAG]#hphpScientist[/HASHTAG]