Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Kumbe wengi tumeliona hili, Joh makini kapotea sana, mashahiri Uchwaram
Si yeye tu, hata Roma nae anaiacha reli.

Nay wa mitego nae haeleweki, Fid q ndo kabisaaa kawa boya
Bongo hip hop inazidi kupwayaa.

Bora niki mbishi na One Incredible na Nash MC na pide MC joh anazingua ngoma ya mwisho ya John karibu tena angalau
 
Duh kwl nilifikili ni Mimi tu kumbe tupo wengi kiukweli hiphop yabongo wamwachie fid tu wengine ni upumbavu tu Ku switch sio kosa but kupotea kwa kubadili mwelekeo we ukidhani ni kutafuta soko ndo kupotea zaidi.
Joh alikuwa my icon bt the way ana move now atapotea mapema sana ht km hatapotea legacy yake itakuwa cheap sana ukilinganisha na wasanii waliopotea km chid Benz nasema hivo kwa sababu moja tu hiphp ni muziki WA movement pia wenye utiifu mkubwa mno kihisia na kiuwezo unapoanza kuloose ni wachache sana wanao ona .
Joh kipind kile alikuwa so focused sana cohistance yake kwenye lines,rhythm NA flow na ideas sikutegemea tutakuja kuwa na joh WA kuimba "nikiona kimbinda me nadinda sijui nakitia mimba'
"Kata kata kata leta
Yan ovyo kabisa halafu cha kushangaza tittle za nyimbo mpk matukio flani yatokee ndo waimbe yan wamaprove kabisa Luna lack of creativity in hip hop nowadays .
Anyway tusiseme BT I miss that joh bhana wa sasa hv mhhhh aniache kidogo.....
[HASHTAG]#hphpScientist[/HASHTAG]
Siku hizi hata stamina anajitahidi
 
Eti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.
Haloo
nmecheka hatariiiiii
 
Jay Moe naye namuona anaanza kuja taratiibu ndani ya vibinda na muda si mrefu ataanza kudinda.
Huyo nilimuona kitambo tu anapotea! Tangu Juma Mchopanga atoe FAMOUS, sikumbuki ngoma yoyote ya maana kutoka kwake!
 
Alikataa haandikiwi mashairi na Mdogo wake sasa na ajiandikie mwenyewe
 
Back
Top Bottom