Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Ubongo wako mdogo ,unataka Joh akomae tuuu asiangalie masilai akuridhishe wewe,basi na wewe imba hip pop ya kaskazini tukuone.
 
Hao uliowataja huwa unawasapoti lakini mkuu, kuingia show zao na kununua kazi zao original?
 
Umemaliza.
 
Mkuu kwa hiyo ili ufanye HIP HOP lazima uwe na kazi nyingine ya kufanya? Sasa hao wanaHip Hop tunaosikia wanauza copies za kutosha wanakosea?
 
oouh labda kweli maana siwezi jua lakini mafanikio hayajifichi.

Namfahamu john vizuri saana achana na JOh wa kwenye kideo kama utapajua 360 utanielewa na mtaa wa jaluo walipohamia. Asante.
Hahaha...kweli unamjua Joh vizuri aisee.

Umeutaja huo mtaa nikakumbuka kitu.
 
Et naliamsha dude [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
 
Hahahahaha.....ila we jamaa umenichekesha sana hapo kwenye mistari ya mwisho hapo [emoji115]
 
" kakaniomba Iphone nikakanunulia Apple " maana yake ni nini?
 
Mkuu kwa hiyo ili ufanye HIP HOP lazima uwe na kazi nyingine ya kufanya? Sasa hao wanaHip Hop tunaosikia wanauza copies za kutosha wanakosea?
Hawakosei wako sawa lakini Mauzo sio primary task ya Hipohop na Kwenye misingi yake Mauzo sio moja ya msingi ni matokeo tu kama mauzo yana maana sana mbona "bible" imeuzwa sana?
 
Huyo Nick sijui huwa anaimba nini.... Sio msanii kabisa
"Oloshoroo Ngararumu, ugali maakande...Takwenya, Shimbonii, kamwene urewedi....." Ni ujamaa kama Azimio la Arusha...!!!
 
Msanii gani wa hip-hop anasuka anapaka lipstick na wanja anatoga maskio
 
Daaah Jo makini wa hao , ufalme nilikua namuelewa saana ila huyu wa sasa bureee kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…