Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ukimbetua nambenta. Hunitii sikutii nakutia adabu! Ndo mashairi yake ya sasa!Eti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.
Hivi chid hit track yake ya kwanza ni mwaka gani na ya Joh pia... naomba kujuaWeeee who told u?? Wakat Joh anahangaika kuomba a-record Chid Benz alkuwa tayar ana track zake kadhaa
Mi chidi na Joe wote nilianza kuwasikia 2006Hivi chid hit track yake ya kwanza ni mwaka gani na ya Joh pia... naomba kujua
Leila ni ya mwaka gani? na aliyoimba na mwasiti? Joh kaanza kuimba kitambo ila 2006 chochote ilimpa shavu.Mi chidi na Joe wote nilianza kuwasikia 2006
Mwasiti na Leila nadhani ni 2007 au 2008 chidi alitokea na nyimbo moja inaitwa sitopenda mwingine Zaidi yako kuhusu joe kwa kweli mi nilianza kumsikia na chochote popoteLeila ni ya mwaka gani? na aliyoimba na mwasiti? Joh kaanza kuimba kitambo ila 2006 chochote ilimpa shavu.
Kapitiliza
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ukimbetua nambenta. Hunitii sikutii nakutia adabu! Ndo mashairi yake ya sasa!
Hahaaa joh ataree😉😉 wananita Mzee wa vibunda na mbele zikivimba nazitoa mimba😵😵Mke wangu kila siku namtoa mapovu 😵kila nikiona dem mkali me narukia😵😳Aisee 🙄Weusiiii nomaa ,naliemusha dudeee😡😡 matusi mwanzo mwisho...tatizo ukiimba mambo ya maana apa bongo unapotea kwenye map😵mwangalie kara,Roma,😵 ukiimba upuuzi ndo unatokaa
Duh kwl nilifikili ni Mimi tu kumbe tupo wengi kiukweli hiphop yabongo wamwachie fid tu wengine ni upumbavu tu Ku switch sio kosa but kupotea kwa kubadili mwelekeo we ukidhani ni kutafuta soko ndo kupotea zaidi.
Joh alikuwa my icon bt the way ana move now atapotea mapema sana ht km hatapotea legacy yake itakuwa cheap sana ukilinganisha na wasanii waliopotea km chid Benz nasema hivo kwa sababu moja tu hiphp ni muziki WA movement pia wenye utiifu mkubwa mno kihisia na kiuwezo unapoanza kuloose ni wachache sana wanao ona .
Joh kipind kile alikuwa so focused sana cohistance yake kwenye lines,rhythm NA flow na ideas sikutegemea tutakuja kuwa na joh WA kuimba "nikiona kimbinda me nadinda sijui nakitia mimba'
"Kata kata kata leta
Yan ovyo kabisa halafu cha kushangaza tittle za nyimbo mpk matukio flani yatokee ndo waimbe yan wamaprove kabisa Luna lack of creativity in hip hop nowadays .
Anyway tusiseme BT I miss that joh bhana wa sasa hv mhhhh aniache kidogo.....
[HASHTAG]#hphpScientist[/HASHTAG]
akikujibu ni tagHivi chid hit track yake ya kwanza ni mwaka gani na ya Joh pia... naomba kujua