Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawezi kuwa yule maana wakati nao sio ule and kibongo.. he's in mainstream, what do you expect.Kama alivyosema mtoa mada. Ni kweli joh makini sio yule. Sababu ni yeye ndio maana nyimbo inapewa airtime
Haha... huwa binafsi siamini kama nixon anamwandikia Joh maana uandishi wao ni tofauti na Joh hukaza zaidi.Alikataa haandikiwi mashairi na Mdogo wake sasa na ajiandikie mwenyewe
Ila co kwa John.Ila ni come ni ngoma Kali kiukweli mim naikubali yaan wametulia zile vocal
Hakuna mashabiki wanafki kama wa Hip Hop ngumu, watakuambia we unaweza ila andaa show uone utachokipata.wanaomweka mjini ndiyo wamemtaka aimbe hivyo unategemea afanyaje nae ana 'njaa'?
hahahah!!Hakuna mashabiki wanafki kama wa Hip Hop ngumu, watakuambia we unaweza ila andaa show uone utachokipata.
Kati ya rappers ninaowakubali sana katika hip hop ni pamoja na huyu Mteule "Mo Techniques" Mchopanga. Yeye na Mteule mwenzie Solo Thang angalau hawajaharibikiwa sana kama Joh wa Daraja 2 na Ngarenaro!Jay Moe naye namuona anaanza kuja taratiibu ndani ya vibinda na muda si mrefu ataanza kudinda.
Kati ya rappers ninaowakubali sana katika hip hop ni pamoja na huyu Mteule "Mo Techniques" Mchopanga. Yeye na Mteule mwenzie Solo Thang angalau hawajaharibikiwa sana kama Joh wa Daraja 2 na Ngarenaro!
Ni kweli kabisa. Baadae akajirudi na kuendelea na hip hop.Lakini Solo alishawahi kuimba Zouk na Mduara japo hakuwa na uandishi wa hovyo.
Huu ni ukweli mchungu sana unaoua muziki wa hip hophahahah!!
wajinga wanaojiita wagumu wengi hawaendagi kwenye shoo hata CD orijino hawanunui!
hakika!Huu ni ukweli mchungu sana unaoua muziki wa hip hop
Ni kweli kabisa. Baadae akajirudi na kuendelea na hip hop.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] haswaaa!Issue ninayopinga mimi ni mtu kubadili aina ya Music kisha anabadili na akili.Ghafla akili inaanza kuwa ndogo.
Mbona mwamba bado yuko njema sana!? Check ngoma zake ambazo ni current kama don't bother,waya .
Sema tu sahv anaimba zaidi kuhusu mapenzi tofaut na mwanzon