Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Mimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz).


Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na kila mkwaju alioachia ulikuwa wa Moto ndio maana alipojiita Tz Jay z sikumbishia sana.

Nakumbuka ngoma zake kama Mfalme,Hao,muda,sijutii,Stimu zimelipiwa,Show za Joh,Kilimanjaro n.k, collabo alizopiga akangaa kama utaipenda ya Hussein machozi na nyinginezo.

Huyu Joh makini wa Weusi simuelewi kabisa yaan amepwaya katika uandishi kuliko zaman, hatumuoni kama Hip hop icon wa kaskazini yaani anakoelekea haeleweki kabisa.

Chondechonde tunamhitaj Joh Makini wa Hao, huyu wa madaraka,Nicome ndugu zake njooni mumchukue.
Nyie mnaosema amebadilika anaboa hata kwenye show hamendagi,mnaongoza kuiba kazi zake,mwacheni abadilike aendane na soko la sasa angalau ana uhakika wa chai na chapati kila siku asubuhi....angekua anaimba unavyotaka ww mpk leo angekua juu ya mawe........cc godzilla.
 
Hapa ndo huwa nasema hakuna mpinzani wa Fidq kwasasa na hajawahi tokea katika hii generation tukiondoa wakongwe wa muziki wa bongo hiphop
 
naujua ule unaoonekana hasa kwao lakini kwa Arusha Dar sijui hata wanaishi wapi labda wanauchumi mkubwa wamewekeza huko.

Ila kwa Arusha nawajua vizuri saana. Au swali lako linalenga nini?

hawaishi Arusha bali wanaishi Dar.

sasa hao waarusha labda umewafananisha.
 
Hapa ndo huwa nasema hakuna mpinzani wa Fidq kwasasa na hajawahi tokea katika hii generation tukiondoa wakongwe wa muziki wa bongo hiphop
Kwani Weusi au Joh Makini waliingia kwenye music Industry ili kushindana na Fid Q mkuu?
 
Ila tyle yake naipenda..tofauti na ile ngumu ya kipindi iko..
 
Zile ngoma ni kali sana, Ila dunia mzima mziki unabadilika
 
Joh katoka mapema sana kabla ya chiddy...

Tatizo mnaopenda hardcore ni wanafki,mnawapa sifa ila kazi hamnunui wasanii wanaishia kuwa mateja..

Ntajie wasanii wawili waliofanikiwa kwa shughuli ya muziki huo wa hardcore hapa Bongo
 
"wananong'ona".................hahaha tunamwambia dogo una flow za Farid sasa akija show hapa utafanyaje!?Mbeya kitambo sana aisee
Nakumbuka hiyo ngoma ya Izzo ilikuwa inapigwa sana Kiss FM na kina DJ Maliz jioni
 
Mwasiti na Leila nadhani ni 2007 au 2008 chidi alitokea na nyimbo moja inaitwa sitopenda mwingine Zaidi yako kuhusu joe kwa kweli mi nilianza kumsikia na chochote popote

We jamaa Chochote mbona imekuja BAADAE ,hawawapend,hao zilianza joh katangulia kuanza game Kaliko chid
 
We jamaa Chochote mbona imekuja BAADAE ,hawawapend,hao zilianza joh katangulia kuanza game Kaliko chid
hao ya mwasiti ilianza kabla ya chochote popote? hiyo hawapendi ni nyimbo ya nani? sijakataa hilo unalolisema ila mi nimeanza kumjua JOE na chochote popote.
 
ila mkumbuke hata g nako pia amefifia kabisa,, so yule "NDO ZETU KUWAKILSHAAAAA, AAA, TUMEKUJA KUWASHIKA, KILA USIKIAPO SAUTI HIZII AAAA"

[emoji23] [emoji2] [emoji115] huyu ndo G NaKo[emoji123]
 
hao ya mwasiti ilianza kabla ya chochote popote? hiyo hawapendi ni nyimbo ya nani? sijakataa hilo unalolisema ila mi nimeanza kumjua JOE na chochote popote.
kumbe we humjui joh, ulikuwa uko primary bila shaka,,


huyo chidi unayemsemea kaanza kuskika na ngoma yake ile yupo na MAKAMUA,, ngoma inaitwa Zaidi yako,
 
kumbe we humjui joh, ulikuwa uko primary bila shaka,,


huyo chidi unayemsemea kaanza kuskika na ngoma yake ile yupo na MAKAMUA,, ngoma inaitwa Zaidi yako,
2006 nipo form 1 kiukweli joh nimemjua na chochote popote wala hilo sikatai!!!
 
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz).

Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na kila mkwaju alioachia ulikuwa wa Moto ndio maana alipojiita Tz Jay z sikumbishia sana.

Nakumbuka ngoma zake kama Mfalme,Hao,muda,sijutii,Stimu zimelipiwa,Show za Joh,Kilimanjaro n.k, collabo alizopiga akangaa kama utaipenda ya Hussein machozi na nyinginezo.

Huyu Joh makini wa Weusi simuelewi kabisa yaan amepwaya katika uandishi kuliko zaman, hatumuoni kama Hip hop icon wa kaskazini yaani anakoelekea haeleweki kabisa.

Chondechonde tunamhitaj Joh Makini wa Hao, huyu wa madaraka,Nicome ndugu zake njooni mumchukue.
Ni kweli nukta
 
Back
Top Bottom