Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Jamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.

Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.

Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.

Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini. Hakuna nia ya dhati kwa utawala huu kumkwamua mtu wa chini. Ila kuna kula kwa urefu wa kamba yako na kutumia pesa. Ukiangalia kwa undani utagunduwa kitu walikifanya baada ya JPM kufariki walikuja na sera ya ku spend yes hii ilikuwa na nia njema kwa serikali kwamba ukikusanya lazima utumie na ukitumia maana yake una ongeza PP ktk soko jambo ambalo kweli ndio ilikuwa issue kipindi cha Mzee wetu.

Shida imekuja pale watu wameamua serikali kutumia ila pesa nyingi ina enda kwa matajiri while masikini wa chini haoni thamani ya huwo mzunguko bad enough some very high leader there inaonyesha kwa kuona utam wa hii mechanism yaku pampu pesa kwenye mzunguko wana mwambia Mkuu asisikilize kelele yeye asonge mbele. Mimi sina shida kwa hilo ila kwangu naona such physical measure haimpi mtu wa chini kula na kupata utam wa nationa cake. Why wanaopata pesa ya serikali kwa sasa ni group ndogo sana yenye access kwenye hichi chungu bad enough hawa jamaa ni wale wale wa zamani na utawasikia kwa majina na hata ile safari ya royal tour ambayo uwenda watu wana anza kuisahau, utasikia walio fadhili matajiri but tuombe list ya hao matajiri uwone kama sio wale wale wala cake na sisi waokota makombo. Na ndio maana kumekuwa na kelele za hapa na pale kwa sababu pamoja na royal tour kuwa na nia njema kwa ukuwaji wa uchumi nyuma ina watu ambao sisi Raia ambao ndio tunamuweka Rais madarakani hatuwajuwi na hatujuwi pesa hiyo wanaipataje na tusifumbe macho hichi pia nikitisho kwa usalama wa uchumi wetu maaana huwezi kusimama na kuwadai kodi watu wamechangia shughuli ya Rais maana yake wamejisogeza kwenye meza kuu na zile other security measures zinakuwa paralyzed yes Huwezi sema Kamishina akipeleka list ya wa kwepa kodi kwa Rais alafu Rais atafanya jambo lolote kwa walio wandani wake tusio wajuwa ambao wamechangia safari yake. Kiufupi hata hiyo tume ya maadili imekuwa paralyzed. Kama hamjuwi huko Marekani na mataifa yapo serious na kiti cha Rais huwezi peleka zawadi au Rais akapokea zawadi yako au changizo ni mwiko na ukifanya mchezo unaondolewa kwa katiba zao.

Well kwangu mimi sidhani Kwa taifa kama TZ utapotezea watu wa chini na kufukuzana nao mtaani. Big no mtu alie na njaa siku zote hujiandaa kwa lolote na kamwe hakuna sheria au mahakama au bunduki inaweza kumzuwia. Angalieni pale kisutu, angalieni kongo, angalie soko la mchinga mmechoma na kuchoma ila jamaa wapo.. mnafukuzana nao ila kila siku wanajipanga jiulizeni na mjuwe tabaka la chini nilakuogopa kuliko marajiri.

Hayati JPM alikuwa smart
Nitaendelea
 
Jana rafiki yangu wa kijijini kaniambia nimuazime elfu 80 akanunue mbolea aweke kwenye mivhe yake ya nyanya

Kilichonifany niandike inshu siyo mbolea Bali ni Jinsi alivyokuwa anaongea

Namnukuu baada ya kupokea simu yake:

Mr satoh Hirosh naomba uniazime elfu 80 ndugu yangu. Hali imekuwa mbaya sn Kwa Sisi wakulima kwakweli.Magufuli amekufa aliacha bei ya mfuko elfu 25 lkn hapa ninapokupigia bei ya mfuko ni TSH elfu 84. Mambo yanazifi kuwa magumu siku baada ya siku na hapa ninapoongea na wewe kuna uwezekano tuta zingine za nyanya nlitabidi niziache maaana gharsma ya kuhudumia imenishinda..mwisho wa kumnukuu

Kuna kitu nimekinote ninapopiga storia na watu mbalimbali wa chini kabisa kule vijijini,wengi wao linapokuja swala la maisha na ugumu tunaopitia wanapenda kufanya comparison Kati ya mama na magufuli na mara zote magufuli anashinda. Hapa Haijalishi mitandaoni hasa jf na Twitter ambako kuna watu wengi waliosoma na wenye uelewa wa juu na mambo ya siasa wanaongea mabaya mangapi ya magufuli..

Kule chini mtu hawezi kukuelewa kbs ukimwambia mama anaupiga mwingi Hadi anachana nyavu
 
Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.
Mkuu usiingize Siasa kwenye uchumi, monetary policy ipi imebadilika ghafla? Kipindi Cha 2020-21 JPM ndio alitoa mkopo wa Trillion 1 kwa mabenki yaani Trillion nzima iliingizwa kwenye mzunguko..... Funny enough ndio alishusha bank rate, reserve requirement na masharti ya agency banking, M Pesa Ili kuongeza mzunguko wa pesa. So linapokuja suala la monetary policy Wala hazikubadilika mwaka 2021-22!!

Kingine Mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya Ukraine kiufupi mfumuko ni dunia nzima lakini vile vile kukosekana ubunifu serikalini wao wanajua tozo tu na makodi wanashindwa kubuni vyanzo vipya.

Ilipaswa wakate matumizi yasiyo ya lazima ikiwezekana kususpend Miradi isiyo na priority Ili hiyo pesa iwekwe kwenye kusubsidize Bei za vyakula Ili gharama ya maisha ishuke.

All in all wakulaumu sio Samia tu ni CCM nzima kuanzia bunge linalopitisha matozo na baraza la mawaziri linalofanya kazi kwa mazoea tu. Kuna wakati unatamani hata baraza la mawaziri ukodishe nchi za wenzetu wafanye consultancy ya miezi 6 pengine tunaweza ona matokeo chanya!!
 
Wenyewe wanasema ni miongoni mwa watu 100 duniani wenye ushawishi. Ngoja tusubiri 2025 kama atagombea tuone atatushawishi nini.
Mkuu
Duru na ramli za humu jamvini
Zinaonyesha eti hafiki!
Eti namba Moja anapofariki madarakani!
Namba mbili anarithi lakini anakuwa chini ya uangalizi wa mabaka mabaka KWA miaka miwili
Kama anatosha anaendelea

Kama hatoshi unapewa hata wewe ujaribu Bahati yako
Ni kwa mujibu wa katiba Hii hii eti!
TUSUBIRI
Ilitokea Marekani itatokea na huku!by jamaaa yetu wa mafumbo magumu!!!
 
Jana rafiki yangu wa kijijini kaniambia nimuazime elfu 80 akanunue mbolea aweke kwenye mivhe yake ya nyanya

Kilichonifany niandike inshu siyo mbolea Bali ni Jinsi alivyokuwa anaongea

Namnukuu baada ya kupokea simu yake:

Mr satoh Hirosh naomba uniazime elfu 80 ndugu yangu. Hali imekuwa mbaya sn Kwa Sisi wakulima kwakweli.Magufuli amekufa aliacha bei ya mfuko elfu 25 lkn hapa ninapokupigia bei ya mfuko ni TSH elfu 84. Mambo yanazifi kuwa magumu siku baada ya siku na hapa ninapoongea na wewe kuna uwezekano tuta zingine za nyanya nlitabidi niziache maaana gharsma ya kuhudumia imenishinda..mwisho wa kumnukuu

Kuna kitu nimekinote ninapopiga storia na watu mbalimbali wa chini kabisa kule vijijini,wengi wao linapokuja swala la maisha na ugumu tunaopitia wanapenda kufanya comparison Kati ya mama na magufuli na mara zote magufuli anashinda.Hapa Haijalishi mitandaoni hasa jf na Twitter ambako kuna watu wengi waliosoma na wenye uelewa wa juu na mambo ya siasa wanaongea mabaya mangapi ya magufuli..

kule chini mtu hawezi kukuelewa kbs ukimwambia mama anaupiga mwingi Hadi anachana nyavu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
JPM alifanikiwa kwa propaganda zake za kiwaita watu wanyonge huku akinuonga kila aliyejaribu kwenda kinyume naye. SSH anapiga propaganda za kurudisha hali kuwa shwari huku akiwaaahidi wafanyabiashara na matajiri hali nzuri ya uchumi. Ukiangalia kiundani wote hawa hakuna zaidi ya wanachofanya zaidi ya kutengeneza matatizo kisha wao wenyewe wanajifanya kutoa suluhu.
 
Mkuu usiingize Siasa kwenye uchumi, monetary policy ipi imebadilika ghafla? Kipindi Cha 2020-21 JPM ndio alitoa mkopo wa Trillion 1 kwa mabenki yaani Trillion nzima iliingizwa kwenye mzunguko..... Funny enough ndio alishusha bank rate, reserve requirement na masharti ya agency banking, M Pesa Ili kuongeza mzunguko wa pesa. So linapokuja suala la monetary policy Wala hazikubadilika mwaka 2021-22!!

Kingine Mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya Ukraine kiufupi mfumuko ni dunia nzima lakini vile vile kukosekana ubunifu serikalini wao wanajua tozo tu na makodi wanashindwa kubuni vyanzo vipya.

Ilipaswa wakate matumizi yasiyo ya lazima ikiwezekana kususpend Miradi isiyo na priority Ili hiyo pesa iwekwe kwenye kusubsidize Bei za vyakula Ili gharama ya maisha ishuke.

All in all wakulaumu sio Samia tu ni CCM nzima kuanzia bunge linalopitisha matozo na baraza la mawaziri linalofanya kazi kwa mazoea tu. Kuna wakati unatamani hata baraza la mawaziri ukodishe nchi za wenzetu wafanye consultancy ya miezi 6 pengine tunaweza ona matokeo chanya!!

Yaan mi nikishaona mtu akisema mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya ukraine naacha kumsikiliza naona kama hana akili sawa sawa!!..
Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 za africa ambapo mafuta n ghari zaid na ziko nchi 54
hyo vita inapiganiwa tz?
 
JPM alifanikiwa kwa propaganda zake za kiwaita watu wanyonge huku akinuonga kila aliyejaribu kwenda kinyume naye. SSH anapiga propaganda za kurudisha hali kuwa shwari huku akiwaaahidi wafanyabiashara na matajiri hali nzuri ya uchumi. Ukiangalia kiundani wote hawa hakuna zaidi ya wanachofanya zaidi ya kutengeneza matatizo kisha wao wenyewe wanajifanya kutoa suluhu.
Tofauti ya Samia na magufuri ni,Samia anaumiza wengi ananufaisha wachache,magufuri kiuchumi wengi wa chini walinufaika wachache waliumi hasa majizi,alijitaidi kudhibiti mifuko ya Bei hata kipindi Cha covid 19
 
Mkuu usiingize Siasa kwenye uchumi, monetary policy ipi imebadilika ghafla? Kipindi Cha 2020-21 JPM ndio alitoa mkopo wa Trillion 1 kwa mabenki yaani Trillion nzima iliingizwa kwenye mzunguko..... Funny enough ndio alishusha bank rate, reserve requirement na masharti ya agency banking, M Pesa Ili kuongeza mzunguko wa pesa. So linapokuja suala la monetary policy Wala hazikubadilika mwaka 2021-22!!

Kingine Mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya Ukraine kiufupi mfumuko ni dunia nzima lakini vile vile kukosekana ubunifu serikalini wao wanajua tozo tu na makodi wanashindwa kubuni vyanzo vipya.

Ilipaswa wakate matumizi yasiyo ya lazima ikiwezekana kususpend Miradi isiyo na priority Ili hiyo pesa iwekwe kwenye kusubsidize Bei za vyakula Ili gharama ya maisha ishuke.

All in all wakulaumu sio Samia tu ni CCM nzima kuanzia bunge linalopitisha matozo na baraza la mawaziri linalofanya kazi kwa mazoea tu. Kuna wakati unatamani hata baraza la mawaziri ukodishe nchi za wenzetu wafanye consultancy ya miezi 6 pengine tunaweza ona matokeo chanya!!
Sawa naheshimu pia maoni yako base ya ushabiki wako. Ina maana hiyo vita imeathiri Tz tu? Let fear God tutalipiteza hili Taifa kwa aina hiibya siasa.
 
Hivi ukiwa na wabunge wenye mambo ya kitoto kama wale pale Dodoma unawezaje kumlaumu Rais ambaye amewakuta na ikamlazimu kuwaangalia wanavyodmka na kuruka sarakasi kwenye maiki Bungeni.

Bunge la hovyo haliwezi kumshauri Rais unless awe dikteta ambaye bunge halina umuhimu wowote.

Kwa Katiba tuliyonayo na wabunge tulionao huyu Rais hatafanikiwa kirahisi kwani katiba tuliyonayo ni ya Kidikteta na inasimamiwa Kidikteta na maamuzi ya Kidikteta.

Ili Mama yetu SSH afanikiwe ni lazima akubaliane na wazalendo waliokua wamepambana na majizi tangu awamu ya pili na wanaomshauri alete katiba mpya inayoruhusu mifumo kujiendesha yenyewe na wapiga DILI kuchujwa na kukaa pembeni. Wateule wake wengi hawana usafi Kwa historia Hali inayowafanya watu wote kutafuta namna ya kula hata Kwa kukata kamba. Wanaona kama vile Kuna fursa ya kula Mali za umma imeruhusiwa.

Hii sio katiba ya kidemokrasia hivyo kuitumia katiba hii Kistarabu ni sawa na kumwekea pumba Nguruwe na Kondoo kwenye zizi Moja. Tahadhari ya kumfuga NGURUWE haiwezi kuwa sawa na Kondoo.

Bunge limeonyesha wazi kuwa lipo pale Kwa lengo la kupata pesa tuu. Ndio maana Kuna Wabunge 19 waliokua wameshindwa kwenye majimbo yao na wakaamua kujipeleka Bungeni na kushirikiana na Ndugai Kwa kumpa zile walizokuwa wanatoa kwa wakubwa zao.
Hawana Chama lakini wapo Kwa lengo Moja tu la Kupiga pesa za umma na wapigaji wenzao.

Kama Bunge linaruhisu wabunge HARAMU kulipwa mamilioni ya pesa iweje serikali ilaumiwe na wakati ule ni mihimili.? Kama mahakama nayo inatumiwa na wapigaji kuendelea Kupiga pesa za Bunge bila kuwa na Chama huoni kuwa hii nchi INAPASWA kuongozwa kidikteta full ili iwe kama Rwanda chini ya Kagame .
Ujinga wa kuchezea Mali za umma ndio unaoturudisha nyuma na kusingizia Vita. Mpaka asali nayo Nyuki wamegoma kutengeneza Kwa sababu ya Vita. Ajabu kabisa. Watu wanazuia watu kumwagilia mashamba yao eti maji yaende kwenye mabwawa ya umeme Karne hii. ,,
 
Jamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.
Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.
Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.


Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Nitajie fiscal na monetary policies zilizobadilika ?

Unauliza kama Rais yupo kwenye mioyo ya watu?? How is it possible Rais awe kwenye moyo wako?

Wewe na kijiwe chako hamridhiki na Rais anavyoendesha nchi, fine. Ila hautapata Rais anayemridhisha kila mtu.

Mnadai JPM alikuwa anakubalika!! Mimi nakuuliza swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?

You can be foolish but you can't fool us!!
 
Mkuu
Duru na ramli za humu jamvini
Zinaonyesha eti hafiki!
Eti namba Moja anapofariki madarakani!
Namba mbili anarithi lakini anakuwa chini ya uangalizi wa mabaka mabaka KWA miaka miwili
Kama anatosha anaendelea

Kama hatoshi unapewa hata wewe ujaribu Bahati yako
Ni kwa mujibu wa katiba Hii hii eti!
TUSUBIRI
Ilitokea Marekani itatokea na huku!by jamaaa yetu wa mafumbo magumu!!!
Hakuna kitu kama hicho.
Rais akishaapishwa ni amiri Jeshi mkuu muda huo huo. Kila mtu anatii mamlaka hiyo mpaka hapo itakavyokuwa Vinginevyo kwenye uchaguzi unaofuata.

Samia ataendelea mpaka 2025 na akitaka ataendelea mpaka 2030 labda akubali kungatuka Mwenyewe na washauri wake waridhie.

Tabu anayoioata ni kuendesha nchi kidemokrasia wakati katiba yetu ni ya Kidikteta.
Nchi hii Ina wezi wengi sana mana majority ya waliopo kwenye mifumo na idara mbalimbali ni zao la udanganyifu na wizi. Yaani wengi wa walioko kwenye mifumo na idara ama waliiba mitihani miaka hiyo ya 2010 kurudi nyuma au walipata madaraka Kwa rushwa au wizi wa kura n.k. Hivyo kundi Hilo ndilo linalohujumu maendeleo ya nchi . Hao hawana huruma na maisha ya Watanzania. Mama SSH anahangaika sana kutafuta fedha za Maendeleo lakini amazungukwa na watu wa bara ambao wengi wao ni wezi Kwa asili kwani wafugaji wanaasili ya wizi wa kuiba mifugo na kujilimbikizia wao na familia zao. Bara wengi Wana hulka ya wafugaji. Pwani wengi ni wavuvi ambao hawana hulka ya kuibiana samaki.
 
Mkuu usiingize Siasa kwenye uchumi, monetary policy ipi imebadilika ghafla? Kipindi Cha 2020-21 JPM ndio alitoa mkopo wa Trillion 1 kwa mabenki yaani Trillion nzima iliingizwa kwenye mzunguko..... Funny enough ndio alishusha bank rate, reserve requirement na masharti ya agency banking, M Pesa Ili kuongeza mzunguko wa pesa. So linapokuja suala la monetary policy Wala hazikubadilika mwaka 2021-22!!

Kingine Mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya Ukraine kiufupi mfumuko ni dunia nzima lakini vile vile kukosekana ubunifu serikalini wao wanajua tozo tu na makodi wanashindwa kubuni vyanzo vipya.

Ilipaswa wakate matumizi yasiyo ya lazima ikiwezekana kususpend Miradi isiyo na priority Ili hiyo pesa iwekwe kwenye kusubsidize Bei za vyakula Ili gharama ya maisha ishuke.

All in all wakulaumu sio Samia tu ni CCM nzima kuanzia bunge linalopitisha matozo na baraza la mawaziri linalofanya kazi kwa mazoea tu. Kuna wakati unatamani hata baraza la mawaziri ukodishe nchi za wenzetu wafanye consultancy ya miezi 6 pengine tunaweza ona matokeo chanya!!
Kunywa spaletta na chips mayai, nitalipa. zitto junior you put it in a professional way. Anayekubishia madini haya ajihesabu ni MBURULA
 
Back
Top Bottom