Yaani makolo mmeshindwa nyie na timu yenu mbovu kuifunga Yanga ndo waweze hao KMC?Mm sio mganga wala mchawi ila naona kabisa
Unbeaten blunder inaweza kuisha leo...
Bila makosa mtacheza dakika buku hafungwi mtuKMC ni wakawaida sana, sare dhidi ya Simba yalikua makosa madogo kutoka kwa bwana mdogo Israh, ushindi dhidi ya Azam sote tunaona vile Azam ni mbovu.
Sasa kama nyie mnapokea bahasha KMC wao ni kina nani wakatae?Bila uchawi bila bahasha KMC wanatoboa
Boss!! Leo mnaokotwa chini.KMC tuna imani kubwa nanyi.. MSITUANGUSHE.
Azam ubovu wake ni upi?KMC ni wakawaida sana, sare dhidi ya Simba yalikua makosa madogo kutoka kwa bwana mdogo Israh, ushindi dhidi ya Azam sote tunaona vile Azam ni mbovu.
Uyo si shoga yake mama tu kama walivyo wengineGENTAMYCIME ameshasema, hiyo furaha msahau tu