ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 559
- 264
Wakuu Habari
Personally nimenunua babywalker Daihatsu Terios Kid cc 660 na hivi ndivyo nlivyoviaona mpaka sasa;
Gari:
kwanza lina turbo(bila
Intercooler), max speed 140kph, tank capacity ni 40lts, sio 4WD, gari lipo juu nakatiza nalo popote bila shida
Ulaji wa Mafuta ,
ukiwa mjini na jam + AC ni 9.5km/l,(speed 40kph)
highway + AC ni 13.5km/l na (speed 120kph)
highway bila AC ni 16km/l (speed 120kph)
Comfortability:
Naona lipo comfortable sanah maana hata kwenye kona naweza kata kwa speed yoyote bila shida
Spacing:
Halina buti kubwa kabisah unaweza hifadhi vitu vichache
Spea:
Spea zake zapatikana na bei zake ni reasonable
Matatizo:
Mpaka sasa sijaona tatizo lolote
Nakaribisha wadau tushare uzoefu, especially kwa safari ndefu je vinaweza kuhimili safari nyingi!?
Personally nimenunua babywalker Daihatsu Terios Kid cc 660 na hivi ndivyo nlivyoviaona mpaka sasa;
Gari:
kwanza lina turbo(bila
Intercooler), max speed 140kph, tank capacity ni 40lts, sio 4WD, gari lipo juu nakatiza nalo popote bila shida
Ulaji wa Mafuta ,
ukiwa mjini na jam + AC ni 9.5km/l,(speed 40kph)
highway + AC ni 13.5km/l na (speed 120kph)
highway bila AC ni 16km/l (speed 120kph)
Comfortability:
Naona lipo comfortable sanah maana hata kwenye kona naweza kata kwa speed yoyote bila shida
Spacing:
Halina buti kubwa kabisah unaweza hifadhi vitu vichache
Spea:
Spea zake zapatikana na bei zake ni reasonable
Matatizo:
Mpaka sasa sijaona tatizo lolote
Nakaribisha wadau tushare uzoefu, especially kwa safari ndefu je vinaweza kuhimili safari nyingi!?