Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Share kapicha mkuu na price!Wakuu Habari
Personally nimenunua babywalker Daihatsu Terios Kid cc 660 na hivi ndivyo nlivyoviaona mpaka sasa;
Gari:
kwanza lina turbo(bila
Intercooler), max speed 140kph, tank capacity ni 40lts, sio 4WD, gari lipo juu nakatiza nalo popote bila shida
Ulaji wa Mafuta ,
ukiwa mjini na jam + AC ni 9.5km/l,(speed 40kph)
highway + AC ni 13.5km/l na (speed 120kph)
highway bila AC ni 16km/l (speed 120kph)
Comfortability:
Naona lipo comfortable sanah maana hata kwenye kona naweza kata kwa speed yoyote bila shida
Spacing:
Halina buti kubwa kabisah unaweza hifadhi vitu vichache
Spea:
Spea zake zapatikana na bei zake ni reasonable
Matatizo:
Mpaka sasa sijaona tatizo lolote
Nakaribisha wadau tushare uzoefu, especially kwa safari ndefu je vinaweza kuhimili safari nyingi!?
View attachment 886816
Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.
Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
vi-baby waker kama hivi ndo kwangu walauView attachment 886816
Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.
Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
Hahaha halafu nawaambia sina gariMwenyekiti ukiwa unakuja kwenye vikao utakuwa unapark mbali kweli tena!..
Kipo service!..Hahaha halafu nawaambia sina gari
Wanaume wa dar mna maneno kama dada zenu.Kigari gani hicho ambacho hupeleki hata car wash! ukitaka kuosha unampa dada wa kazi anakimix na vyombo anakiosha then anakitia kwenye beseni.
Wenzako hua wanashindana muda wa kutoka speed 0-60 wewe unashindana muda wa kusimama kutoka 60-0,hahah no wonder zikaitwa "k" cars.View attachment 886816
Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.
Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
View attachment 886816
Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.
Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
Hehee. Mkuu, shindana mahali unapojua kuwa utapata taji...Wenzako hua wanashindana muda wa kutoka speed 0-60 wewe unashindana muda wa kusimama kutoka 60-0,hahah no wonder zikaitwa "k" cars.
Hiyo brevis inakula sana mafuta lasivyo uwe na bodaboda ili ukiishiwa hela ya mafuta unaendesha bodaboda
sina hamu na brevis...alafu haziuziki😡
Nikisikia mtu anataka kununua brevis huwa namuonea huruma tu
we kila mtu anaepost unajua ni mwanaume wa dar sio? angalia utarambishwa zunde weweWanaume wa dar mna maneno kama dada zenu.
Kati ya zunde na ndonga umezoea kulambishwa nini?we kila mtu anaepost unajua ni mwanaume wa dar sio? angalia utarambishwa zunde wewe