Tunaoendesha 'Baby Walkers' specifically za 660cc tupenae uzoefu wa hizi gari

Tunaoendesha 'Baby Walkers' specifically za 660cc tupenae uzoefu wa hizi gari

Hongera japo ungeweza kutafuta pia Pajero Min au Suzuki Jimmy za cc 660 kwangu ingependeza zaidi
 
Wakuu Habari

Personally nimenunua babywalker Daihatsu Terios Kid cc 660 na hivi ndivyo nlivyoviaona mpaka sasa;

Gari:
kwanza lina turbo(bila
Intercooler), max speed 140kph, tank capacity ni 40lts, sio 4WD, gari lipo juu nakatiza nalo popote bila shida

Ulaji wa Mafuta ,
ukiwa mjini na jam + AC ni 9.5km/l,(speed 40kph)
highway + AC ni 13.5km/l na (speed 120kph)
highway bila AC ni 16km/l (speed 120kph)

Comfortability:
Naona lipo comfortable sanah maana hata kwenye kona naweza kata kwa speed yoyote bila shida

Spacing:
Halina buti kubwa kabisah unaweza hifadhi vitu vichache

Spea:
Spea zake zapatikana na bei zake ni reasonable

Matatizo:
Mpaka sasa sijaona tatizo lolote

Nakaribisha wadau tushare uzoefu, especially kwa safari ndefu je vinaweza kuhimili safari nyingi!?
Share kapicha mkuu na price!
 
View attachment 886816

Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.

Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.

Bei yake iko plus na ushuru Wa forodha
 
View attachment 886816

Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.

Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
vi-baby waker kama hivi ndo kwangu walau
 
View attachment 886816

Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.

Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
Wenzako hua wanashindana muda wa kutoka speed 0-60 wewe unashindana muda wa kusimama kutoka 60-0,hahah no wonder zikaitwa "k" cars.
 
View attachment 886816

Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.

Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.

Niceeee
 
Share kapicha mkuu na price!

Kama hii

Price from japan mpaka barabaran Tanzania
IMG_0254.JPG
ilikuwa 7.5M
 
Nakumbuka nlikuwa na vits clavia kale kagari kalikuwa kananipa raha jamani...yani mafuta huwazi kbs...sasa hivi navuta kasi kabla ya mwisho wa mwaka huu ninunue IST kwa ajili ya mizunguko ya town maana haya magari makubwa yanatesa sana
 
Back
Top Bottom