Tunaoendesha 'Baby Walkers' specifically za 660cc tupenae uzoefu wa hizi gari

Tunaoendesha 'Baby Walkers' specifically za 660cc tupenae uzoefu wa hizi gari

kuna kitu inaitwa power. to weight ratio...so usizan cc ndogo ndo zinakupa fuel economy nzuri sana ..sababu when going uphill ka engine kadogo kanafanya kazi kubwa kuliko engine kubwa hivo rpm inakuwa juu na ndivyo ulaji wa mafuta hupanda....pil ameshasema gari ina turbo means sio nguvu ya cc 660 tena kama gari nyingne hapo unakuta gari inatoa hp za engine ya cc 1300 may be so tegemea ulaji wa mafuta kama gari ya cc 1300

Well said mkuu.. na pia naendesha nakanyagia haswa boosting turbo sanah rpm za kutosha
 
..jf bhna ....ha ha kwa hiyo we unamdanganya mwenzako terios kid ina supercharger

IMG_0248.JPG


Nlikutana na haya maelezo kwenye specifications mkuu naona wanasema ni supercharger maana kwa uelewa wangu mdogo me nliona imeandikwa turbo nkajua ni Turbo kawaida
 
Ukiwa unataka kusema uongo jaribu basi hata kuwa na details kamili ambazo zitafanania na ukweli......

Sasa wewe kagari kama Terrios Kid.....cc 660 kanamalizaje lita moja kwa kutembea km 13.5?!

Kwa hizo cc 660 kama ulikuwa haufahamu, hiyo gari ingeweza tembea hadi km 26+/litre na sio km 13.

Sasa wewe unatunga vitu halafu unakuja kutuambiaje hapa.....!
Kuna mtu humu alikuwa anasifia ana crown majesta ina zaidi ya cc4000 halafu inaenda kilometa 19 kwa lita moja...ngoja nikuwekee link ya uzi
 
Hivi na sisi wenye cc 1500 tupo kwenye kundi la baby walker???

Mimi naendesha Nissan cc1500 highway napata mpaka 14 km per litre....

Sasa hiyo yako inkupa km 16 kwa cc 660 Nadhani itakuwa mbovu au service hufanyi kwa wakati
Hapana mkuu Boeing 747 wewe ushagraduate kutoka kwenye baby walker
 
Nakumbuka nlikuwa na vits clavia kale kagari kalikuwa kananipa raha jamani...yani mafuta huwazi kbs...sasa hivi navuta kasi kabla ya mwisho wa mwaka huu ninunue IST kwa ajili ya mizunguko ya town maana haya magari makubwa yanatesa sana
Yanatesa nini nokia83
 
Mkuu ni haki yako pia kusema hivyo, naomba gari moja tu inayotembea 26km/l ya cc 660, nimepitia nyuzi mbalimbali mtandaoni na nipo standard kwa matumizi ya mafuta ukizingatia pia nalikanyahia haswaa sio lele mamaView attachment 886808
Mkuu akikutajia hiyo Gari inayotembea 26km per 1 litre. Tafadhali naomba unitag.
 
View attachment 886816

Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.

Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
mkuu vp kuhusu spea zake? kuna mtu alisema spea zake ni tabu kupata kwa sababu halitengenezwi tena
 
Back
Top Bottom