mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Una moyo sana.Nakumbuka nlikuwa na vits clavia kale kagari kalikuwa kananipa raha jamani...yani mafuta huwazi kbs...sasa hivi navuta kasi kabla ya mwisho wa mwaka huu ninunue IST kwa ajili ya mizunguko ya town maana haya magari makubwa yanatesa sana