Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
EOM ndo kitu gan mkuu?Spea za kumwaga Kkoo. Gari nyingi zimazotumika Tz hazitengenezwi tena but EOM wanaendelea kusupply spare.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EOM ndo kitu gan mkuu?Spea za kumwaga Kkoo. Gari nyingi zimazotumika Tz hazitengenezwi tena but EOM wanaendelea kusupply spare.
Original Equipment Manufacturer - OEMEOM ndo kitu gan mkuu?
Ahaaaaahaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....ila JF daaah!Kigari gani hicho ambacho hupeleki hata car wash! ukitaka kuosha unampa dada wa kazi anakimix na vyombo anakiosha then anakitia kwenye beseni.
Upoo best akee? ....umemsikia huyoo[emoji23] [emoji23]Wanaume wa dar mna maneno kama dada zenu.
Hata Brevis haina shida wewe watu wa humu utawaweza best?[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]Crown je?
Haaaahaaaa...mbavu zanguMkuu ulinunua kutumia kuendesha ama kuuza
Nataman kujua una push ndinga gani...njoo bas pm uninong'oneze mremboHata Brevis haina shida wewe watu wa humu utawaweza best?[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
Kavurugwa huyo anadhani kila mwanaume ni wa dar, mi kwetu majita makojo mabui imerafuru Mara hkoUpoo best akee? ....umemsikia huyoo[emoji23] [emoji23]
Hahah mkuu wangu nipo,jamaa anazingua nadhani atakua anaendesha hummer huyu,hahah.Upoo best akee? ....umemsikia huyoo[emoji23] [emoji23]
VIP kuhusu 4000-5000cc? Tukutag piaMkianza stori za CC 3500-4000 mnitag
Ukiwa unataka kusema uongo jaribu basi hata kuwa na details kamili ambazo zitafanania na ukweli......
Sasa wewe kagari kama Terrios Kid.....cc 660 kanamalizaje lita moja kwa kutembea km 13.5?!
Kwa hizo cc 660 kama ulikuwa haufahamu, hiyo gari ingeweza tembea hadi km 26+/litre na sio km 13.
Sasa wewe unatunga vitu halafu unakuja kutuambiaje hapa.....!
View attachment 886816
Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.
Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
Ukiwa unataka kusema uongo jaribu basi hata kuwa na details kamili ambazo zitafanania na ukweli......
Sasa wewe kagari kama Terrios Kid.....cc 660 kanamalizaje lita moja kwa kutembea km 13.5?!
Kwa hizo cc 660 kama ulikuwa haufahamu, hiyo gari ingeweza tembea hadi km 26+/litre na sio km 13.
Sasa wewe unatunga vitu halafu unakuja kutuambiaje hapa.....!
1. Hujui kuendesha kwa hiyo gari ulipaswa kwenda kwa 20km/l1 ya mafuta.
2. Hiyo siyo gari. Baada ya muda itaanza kuchemsha labda ibaki ya kufuatia nyanya sokoni. Gari za kukusaidia angalaua anxa na cc1290.
3. Hongera kumiliki magurudumu manne.
Na mimi nimeshangaa, huwa natembea na passo 13km/l na Ac muda wote na hiyo Cc990 haka katakwendaje umbali mfupi hivyo kwa Lita1. Hujui kuendesha kwa hiyo gari ulipaswa kwenda kwa 20km/l1 ya mafuta.
2. Hiyo siyo gari. Baada ya muda itaanza kuchemsha labda ibaki ya kufuatia nyanya sokoni. Gari za kukusaidia angalaua anxa na cc1290.
3. Hongera kumiliki magurudumu manne.
Hii ni ndogo haiwezi kuwa na turboKwa ninavyofahamu, turbocharger zote zinakuwa na intercooler. Kwani haina lile tundu kwenye bonnet?
Nissan gani hiyo mkuu, 1500 ni lita ni kuanzia km 13 kushuka..... 1500 ni consumption ya katiHivi na sisi wenye cc 1500 tupo kwenye kundi la baby walker???
Mimi naendesha Nissan cc1500 highway napata mpaka 14 km per litre....
Sasa hiyo yako inkupa km 16 kwa cc 660 Nadhani itakuwa mbovu au service hufanyi kwa wakati