Tunaoendesha 'Baby Walkers' specifically za 660cc tupenae uzoefu wa hizi gari

Tunaoendesha 'Baby Walkers' specifically za 660cc tupenae uzoefu wa hizi gari

wewe ndio mtumiaji wa kwanza wa hilo gari kusema kuwa spea ni reasonable...
kuna jamaa nafahamiana nae anatafuta mtu wa kumbambika hilo gari sababu anadai spea ni shida.
 
wewe ndio mtumiaji wa kwanza wa hilo gari kusema kuwa spea ni reasonable...
kuna jamaa nafahamiana nae anatafuta mtu wa kumbambika hilo gari sababu anadai spea ni shida.

Mkoani nazipata kirahisi, mliopo Dar si ndo zipo Bwerere jamani
 
Hivi na sisi wenye cc 1500 tupo kwenye kundi la baby walker???

Mimi naendesha Nissan cc1500 highway napata mpaka 14 km per litre....

Sasa hiyo yako inkupa km 16 kwa cc 660 Nadhani itakuwa mbovu au service hufanyi kwa wakati

Mkuu kwa specifications zake inasema hivyo pia kwa hiyo naona ipo standard
 
Hongera mkuu hayo magari watu wame fanya mapambo kwenye packing zao

Ukiwa mwajiriwa alafu wasafiri zidi ya 60kms daily job na home baby walker ni lazimaaa

Wafanyabiashara ndo bahili zaidi[emoji23][emoji23]
 
Ukiwa unataka kusema uongo jaribu basi hata kuwa na details kamili ambazo zitafanania na ukweli......

Sasa wewe kagari kama Terrios Kid.....cc 660 kanamalizaje lita moja kwa kutembea km 13.5?!

Kwa hizo cc 660 kama ulikuwa haufahamu, hiyo gari ingeweza tembea hadi km 26+/litre na sio km 13.

Sasa wewe unatunga vitu halafu unakuja kutuambiaje hapa.....!

Mkuu ni haki yako pia kusema hivyo, naomba gari moja tu inayotembea 26km/l ya cc 660, nimepitia nyuzi mbalimbali mtandaoni na nipo standard kwa matumizi ya mafuta ukizingatia pia nalikanyahia haswaa sio lele mama
IMG_0247.JPG
 
Wakuu Habari

Personally nimenunua babywalker Daihatsu Terios Kid cc 660 na hivi ndivyo nlivyoviaona mpaka sasa;

Gari:
kwanza lina turbo(bila
Intercooler), max speed 140kph, tank capacity ni 40lts, sio 4WD, gari lipo juu nakatiza nalo popote bila shida

Ulaji wa Mafuta ,
ukiwa mjini na jam + AC ni 9.5km/l,(speed 40kph)
highway + AC ni 13.5km/l na (speed 120kph)
highway bila AC ni 16km/l (speed 120kph)

Comfortability:
Naona lipo comfortable sanah maana hata kwenye kona naweza kata kwa speed yoyote bila shida

Spacing:
Halina buti kubwa kabisah unaweza hifadhi vitu vichache

Spea:
Spea zake zapatikana na bei zake ni reasonable

Matatizo:
Mpaka sasa sijaona tatizo lolote

Nakaribisha wadau tushare uzoefu, especially kwa safari ndefu je vinaweza kuhimili safari nyingi!?
Naona umeamua kumuiga miss tanzania
 
1. Hujui kuendesha kwa hiyo gari ulipaswa kwenda kwa 20km/l1 ya mafuta.

2. Hiyo siyo gari. Baada ya muda itaanza kuchemsha labda ibaki ya kufuatia nyanya sokoni. Gari za kukusaidia angalaua anxa na cc1290.

3. Hongera kumiliki magurudumu manne.

1. Sawa Dereva, uzi wajieleza nalikanyagia vyema

2. Kwa muda nlilokaa nalo na safari nlizoenda lingeshachemsha mpaka nkalonywa supu

3. Shukran
 
Okay. Hiyo nahisi ni supercharger. Maana turbocharger huwa inaleta hewa ya moto saana, ndio maana inabidi ipite kwenye intercooler kupozwa kidogo. Ila supercharger mara nyingi hazina intercooler, vile zinazungushwa kwa speed ya engine.

Upo sawa mkuu,
Ina supercharger
IMG_0248.JPG
 
Mkoani nazipata kirahisi, mliopo Dar si ndo zipo Bwerere jamani
inawezekana mkuu....siwezi pinga maana sina ushahidi madhubuti juu ya hili.
yawezekana jamaa hajui tu machimbo ya kwenda
 
1538675358494.png


Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.

Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.
 
Back
Top Bottom