Acha madharau mbweha kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kigari gani hicho ambacho hupeleki hata car wash! ukitaka kuosha unampa dada wa kazi anakimix na vyombo anakiosha then anakitia kwenye beseni.
Hata makampuni ya lebo kubwa wana vi-baby walker lakiniHuwa najaribu tu kuwaza kama ndio unamiliki Baby walker halafu umekwenda kwenye tafrija ambayo kila mtu pale ana magari yenye label kubwa kubwa ,unaweza kujikuta umeipaki mtaa wa pili ukaingia mwenyewe on foot...
Mkuu unaweza kutupatia feedback zaidi kuhusu Suzuki jimny 658cc. Nina plan ya kuinunua ningependa kujua mazuri na mabaya yake.Mimi ninayo Suzuki jimny 658cc huwa natumia 12km/l
Gari yenye CC ndogo hua haina confortability yoyote ile wewe angalia Crown, Brevis, Fuga, BMW 5 series na IST, Terios, Ractis hakuna comfortabilityComfortability n mandhari ya ndani sio kukata coner
tena terios kinadunda dunda kama kitenesi...Gari yenye CC ndogo hua haina confortability yoyote ile wewe angalia Crown, Brevis, Fuga, BMW 5 series na IST, Terios, Ractis hakuna comfortability
kuna hyo ya milango mi5 sasa daah ukiiona kwq mbele kama range vileView attachment 886816
Mimi baby walker wangu ni wa dizaini hii... Hizi gari kwa huko Japan zinaitwa KEI cars... Yani gari zote zenye engine chini ya 650cc ziko categorized as KEI car. Hii ilikuwa ni kuwasaidia watu wa kipato cha chini ambao wanaweza kumudu kutumia piki piki waweze kutumia gari.
Kuhusu Pajero Mini, this is a super car on its class. Huwa nina uwezo wa kusimama toka spidi sitini hadi 0 ndani ya sekunde chace tu na kwa umbali usiozidi mita mbili.
Kuhusu kiwese, hizi Jeep hazikuundwa kuwa fuel efficient. Japo ni cc 650 lakini Vitz ina ulaji mdogo wa mafuta kuliko hii gari.
Kwa jinsi kalivyo stable, huwa sikati kona, nalala nako kwenye kona. Huwa sipunguzi mwendo kwenye matuta naruka nako hivyo hivyo. Ukiniona niko kwenye hii gari, kaa mbali na mimi. Nitakupita kama unyoya.
This is one of the best cars to have kwa njia zetu hizi.