Tunaoendesha 'Baby Walkers' specifically za 660cc tupenae uzoefu wa hizi gari

Kigari gani hicho ambacho hupeleki hata car wash! ukitaka kuosha unampa dada wa kazi anakimix na vyombo anakiosha then anakitia kwenye beseni.
Acha madharau mbweha kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa najaribu tu kuwaza kama ndio unamiliki Baby walker halafu umekwenda kwenye tafrija ambayo kila mtu pale ana magari yenye label kubwa kubwa ,unaweza kujikuta umeipaki mtaa wa pili ukaingia mwenyewe on foot...
Hata makampuni ya lebo kubwa wana vi-baby walker lakini
 
Hakuna kitu napenda kama Jimny Land Venture...niko najichanga kama ni 15M au 20 lakini ntaipaki uwani Mungu akijaalia
 
Mimi ninayo Suzuki jimny 658cc huwa natumia 12km/l
Mkuu unaweza kutupatia feedback zaidi kuhusu Suzuki jimny 658cc. Nina plan ya kuinunua ningependa kujua mazuri na mabaya yake.
Upatikanaji wa spare na mengineyo
 
kuna hyo ya milango mi5 sasa daah ukiiona kwq mbele kama range vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…