Typing error ni Odemba na Frank Mgoyo au Frank Gonga na ni mzazi mwenzie sio mume wa kwanza Mange Kimambi.Odema namjua long time tangia Faces International 1998 na Kina Frank Mdoe aka Frank Machozi Mme wa Kwanza wa Da Mange.
Tupo hapa... [emoji23]Tusioweza mazoezi tukaamua kukomaa na diet tujuane tafadhali!
Ndio, ila uvumilie harufuInadaidia?
Wala maarage Nazi na sodaIlishanitokea hyo..nilikua nafanya mazoezi nikirudi nakula mara mbili yake tena usiku wali maharage wee..nilinenepa mpk sikio...sijarudia tenaa
Sasa wewe ulikosea ulitakiwa udhibiti kula kwanza, utaona ni mateso mwanzoni ila ukizoea utachukulia kawaida na hapo mwili utauona ukipunguaIlishanitokea hyo..nilikua nafanya mazoezi nikirudi nakula mara mbili yake tena usiku wali maharage wee..nilinenepa mpk sikio...sijarudia tenaa
Tupo wengi aisee mimi niliacha muda mrefu nikaja kuumwa balaa hadi napona ganzi ikawa inanitesa mwilini ila niliporejea kufanya mazoezi kila kitu shwari. Nafanya siku tano kwa wiki, napumzika siku mbili tuMazoezi kwangu ni kama ULEVI....nisipofanya siku 3 tu mwili unaniuma.....ukizoea mazoezi huwa ni starehe ya kukata na shoka......[emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]