masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
- #201
"Strava"Posta to Mwenge ,inaweza kuchukua mwaka kukimbia hizo km,download app ya strava anza taratibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Strava"Posta to Mwenge ,inaweza kuchukua mwaka kukimbia hizo km,download app ya strava anza taratibu
Tutakulana...unafikiri niramuacha hivi hivi?Usije ukamkula dada wa kimasai
Masotojo ya aina gan unapendelea?starehe yangu ni masotojo tu
Kama haujagonga miaka 55 na uko above 45 ungeongeza running ya angalau km 2.natembea almost 20 minutes,
naruka kamba 50,
Eeeeee haya bana.Odema namjua long time tangia Faces International 1998 na Kina Frank Mdoe aka Frank Machozi Mme wa Kwanza wa Da Mange.
Samaki,maarage Nazi kuanzia chaiMasotojo ya aina gan unapendelea?
Na kazi zako unazofanya siku nzima ni zipi?
Atanenepa mpk sikioWalahi hutoboi.Yaani nidham ya kula ndio Kila kitu,mtu ulikuwa una kunywa uji kikombe kimoja ila ukipiga tizi utapiga vinne na Bado unataka upungue,Kwa kweli huo muujiza haupo.
Aisee na alafu mwili ukiwa fit hapo mnyanduano unakuwa super hotTutakulana...unafikiri niramuacha hivi hivi?
Hahahahah...Aisee na alafu mwili ukiwa fit hapo mnyanduano unakuwa super hot
Napungua uwezo aminWasikudanganye unajikimbiza bure ndambi hio haitapungua itaongezeka
Hahahahahaha uwiiii aisee Hadi maskio jamanAtanenepa mpk sikio
Soda sinywi hata juisi za dukani situmiiSoda unakunywa?
Nzuri hiiiSoda sinywi hata juisi za dukani situmii
Na aina gan ya kazi unazofanya?Samaki,maarage Nazi kuanzia chai
Ilishanitokea hyo..nilikua nafanya mazoezi nikirudi nakula mara mbili yake tena usiku wali maharage wee..nilinenepa mpk sikio...sijarudia tenaaHahahahahaha uwiiii aisee Hadi maskio jaman
Haupendi mazoezi ungependa usingekuwa mvivu,hakuna msaada wowote utakao saidiwa,kila kitu ni wewe mwenyewe ukiwa na nia sasa huna nia unasaidika vp.Nisaidieni mwenzenu Nina uvivu ila napenda maziez