Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Uko sahihi asilimia zote na point vyakula ndo Kila kitu,Mimi nilikua na 80 na kitu hukooo watu wananishangaa nikaanza kujitune kwenye vyakula Tena vile vile vyakula vyangu ninavokula ila nilipunguza kiasi kikubwa nilifika mpk 65kgs sometimes nilikua usiku nakunywa maji mengi na nanasi ,au embe au tunda lolote la sukari lile!
Sikuwahi kukimbia Wala kwenda gym yoyote Wala mazoezi ni mlo TU Baasi mwili unapungua wenyewe
Mbona 80kg ni uzito wa kawaida? una urefu gani?
 
Kama huwezi kufuata formula ya chakula basi jiandae kuwa kibonge mwepesi, kupungua au kuongezeka kwa mwili inaangaliwa ratio ya chakula na mazoezi yako na si mazoezi pekee. Mlo ndiyo utakaoamua wewe uwe mnene au mwembamba
Dah napunguza kiwango ila njaa inauma haswa wakati huu WA baridi dah
 
Dah napunguza kiwango ila njaa inauma haswa wakati huu WA baridi dah
Zoea kwanza ulaji wa kawaida ndiyo uje ufanye mazoezi, najua itakuwa ni mateso makubwa ila vumilia kwanza hilo. Vita kuu ya kupungua mwili ni vyakula kwanza na hili ndiyo linawashinda wengi wanakimbilia kuweka maputo tumboni
 
Mi ni mrefu sana kiwango Cha odemba....kama unamjua...
So ni mifupa TU hapo nyama kidogo

Odema namjua long time tangia Faces International 1998 na Kina Frank Mdoe aka Frank Machozi Mme wa Kwanza wa Da Mange.
 
Mazoezi ni mazuri but kwa kiasi tu..ULAJI NDIO
UNABEBA KIWANGO KIKUBWA CHA UPUNGUAJI WAKO AU KUNENEPA KWAKO😊

Jitahidi kuangalia unakula nini kisha katika ulaji wako hakikisha hauli mpaka uhisi njaa😊

Na unapohisi njaa hakikisha unaligawa tumbo lako mara3😊

Yaan (Maji,Chakula na Hewa) sio kula tu ovyo mpaka kuvimbiwa🤣 maradhi yote yanaanzia tumboni🤦‍♀️

Mind you..If you want to lose weight..eat anything you want as long as you're eating less calories than you need😊

Kila la kheri kwenye safari yako ya upunguaji🙏
 
Mimi sipendi mazoezi ila nimefikia Ile steji ya no way out. Chakula kama chakula kufanya diet au kula michemsho siwezi wenzangu.

Maana kunywa sinywi, club sipendi, starehe yangu ni masotojo tu. Sasa mwili unapoelekea Kwa kweli sio pazuri.

Hii ni wiki ya tatu mfululizo ila napiga ya nyumbani mbio kuzunguka uwanja.
Sit-up sijui ya kukata tumbo. Binafsi naona mwili umeanza kuwa mwepesi.

Naomba kwa wanaofanya mazoezi tupeane ABC please. Vyakula vya kula. Mazoezi ya kufanya na pia tutiane moyo. Binafsi nataka niwe na mwili kama wa Gabu union au tiwa savage nikifikisha 40 bila surgery maana najiona kabisa siwezi kuoitolerate hiyo surgery.

Najilainisha kwanza kabla sijaanza kwenda gym wasije wakanitoa roho bure ma treinaaaa[emoji23][emoji23]
Ukiweza kukimbia km 10 kila siku ,utakula chochote na uongezeki
 
Nafanya mazoezi since 2018,
asubuhi tu, nikiamka,
natembea almost 20 minutes,
naruka kamba 50,
pushups 25
na mazoezi mengine pia. Hii nafanya siku 6 weekly.

situmii pombe, soda, sukari, mafuta na chumvi nimepunguza sana.

Hii ndio formula ya maisha yangu kwa sasa.
 
Pole Kwa kuibiwa..
Aiseee matunda yanakwangua tumbo usiku asiwambi mtu....

Mbwa unataka kufuga WA kuzungu?
Aisee ukikosa fuga WA kiswahili ata watatu au wawili kelele zao usiku zinasaidianwatu kuogopa kuruka
With time tumbo litazoea. Unaanza mdogo mdogo. Niliwahi kukutana na Bi. Mkubwa mmoja ana miaka 58 kama ana miaka 35. Siti yake kalimiyi macuta na chumvi kwenye diet yake na matunda na mboga mboga.
 
Mimi sipendi mazoezi ila nimefikia Ile steji ya no way out. Chakula kama chakula kufanya diet au kula michemsho siwezi wenzangu.

Maana kunywa sinywi, club sipendi, starehe yangu ni masotojo tu. Sasa mwili unapoelekea Kwa kweli sio pazuri.

Hii ni wiki ya tatu mfululizo ila napiga ya nyumbani mbio kuzunguka uwanja.
Sit-up sijui ya kukata tumbo. Binafsi naona mwili umeanza kuwa mwepesi.

Naomba kwa wanaofanya mazoezi tupeane ABC please. Vyakula vya kula. Mazoezi ya kufanya na pia tutiane moyo. Binafsi nataka niwe na mwili kama wa Gabu union au tiwa savage nikifikisha 40 bila surgery maana najiona kabisa siwezi kuoitolerate hiyo surgery.

Najilainisha kwanza kabla sijaanza kwenda gym wasije wakanitoa roho bure ma treinaaaa[emoji23][emoji23]
Bila kapicha uzi huu ujautendea haki!
 
With time tumbo litazoea. Unaanza mdogo mdogo. Niliwahi kukutana na Bi. Mkubwa mmoja ana miaka 58 kama ana miaka 35. Siti yake kalimiyi macuta na chumvi kwenye diet yake na matunda na mboga mboga.
Sentens ya mwisho sijaelewa
 
Nafanya mazoezi since 2018,
asubuhi tu, nikiamka,
natembea almost 20 minutes,
naruka kamba 50,
pushups 25
na mazoezi mengine pia. Hii nafanya siku 6 weekly.

situmii pombe, soda, sukari, mafuta na chumvi nimepunguza sana.

Hii ndio formula ya maisha yangu kwa sasa.
Soda unakunywa?
 
Back
Top Bottom