Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ili tubaki kama Taifa naombea Guinea ishinde. Itakuwa jambo jema sana. Taifa Stars huwa inakuwa ya wote inaposhindwa tu. Ikishinda kuna wartu wanaifanya kuwa ni yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guinea kushinda wala sio swali la kuuliza ,wale jamaa wametuzidi mbali na isitoshe hawaji kukamilisha ratiba,gemu wanaitaka,.hapa hakuna rushwa wala goli la mkono,stars anaaga rasmi kesho .Ili tubaki kama Taifa naombea Guinea ishinde. Itakuwa jambo jema sana. Taifa Stars huwa inakuwa ya wote inaposhindwa tu. Ikishinda kuna wartu wanaifanya kuwa ni yao.
Shehe unajitamba ulishinda kwa timu ambayo imepoteza gemu zake zote home and a way??mbona juzi ilishinda na tunaendelea na mshikamano, hao majizi wanaojificha Kwa mama aibu yao wataipata tu.
🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾Ili tubaki kama Taifa naombea Guinea ishinde. Itakuwa jambo jema sana. Taifa Stars huwa inakuwa ya wote inaposhindwa tu. Ikishinda kuna wartu wanaifanya kuwa ni yao.
SafiMi naiombea timu ishinde, naamini wachezaji wanajitoa kwa ajili ya Taifa na sio CCM.
Nami naitafuta ili niingie nayo Kwa mkapa kibabe.Nakuunga mkono, napata wapi jezi za Guinea?