Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dk 90 zitaamuaGuinea kushinda wala sio swali la kuuliza ,wale jamaa wametuzidi mbali na isitoshe hawaji kukamilisha ratiba,gemu wanaitaka,.hapa hakuna rushwa wala goli la mkono,stars anaaga rasmi kesho .
Sawa kabisa. Naunga mkono hoja kwa 100% hakuna kipindi taifa stars ilifanya vizur kama zama za maximo ila soJwahi ona bingo la jk uwanjani.Ili tubaki kama Taifa naombea Guinea ishinde. Itakuwa jambo jema sana. Taifa Stars huwa inakuwa ya wote inaposhindwa tu. Ikishinda kuna wartu wanaifanya kuwa ni yao.
Naunga mkono Hoja,Ipigwe tuuuIli tubaki kama Taifa naombea Guinea ishinde. Itakuwa jambo jema sana. Taifa Stars huwa inakuwa ya wote inaposhindwa tu. Ikishinda kuna wartu wanaifanya kuwa ni yao.
Ukipata jibu unishtue mkuu.Nakuunga mkono, napata wapi jezi za Guinea?
Mpinmpin camaraWale mashabiki wa guinea tujuane mapema.
gemu iliisha matokeo umeona,sisi Bado ni wamoja ingawa majizi yapo yanamsifia mama.Shehe unajitamba ulishinda kwa timu ambayo imepoteza gemu zake zote home and a way??