Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
@UniqueFlower
Wanaume hawa hapa wa kuolewa nao. Wapo single hawajaoa
Wanaume hawa hapa wa kuolewa nao. Wapo single hawajaoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mm haya mambo ya kujiunga bando kila siku siyawezi ndo maana nilijiunga bando la miezi 12 kwa mshkaji wangu nikapata 500GBHela ya bando kila siku ni Tsh.2100
Hongera umetuheshimisha ss vijana,ndiyo, Kwanini umeuliza?
Mshkaji anauza 175k sema mm nilimpa 150k tuu, hio nyingine sijampa hadi leo😅😅😅kwa bei gani mkuu?
ni mbaya aisee napata sonona ila nashindwa kujinyima vikuku kuku😂hahah kama ni kweli inabidi ubadili hiyo sio nzuri japo inategemea na kipato chako
Hakikisha kwny matembezi yako unatembea na pesa unayoimudu kuipoteza acha kutembea na unnecessary high amount of cash..Nina tatizo la budgeting. Huwa najikuta nimefanya manunuzi/ nime donate nje ya budget. Nimetumia njia nyingi kubadilika lakini nimeshindwa. Naomba msaada wakuu
Exactly!!!!!!!!kwamba hujaona mtu anaetaja budget ya Chips na mishakaki pembeni? 😁
Acha kucheza dubunatumia hela vibaya sana 10-20k/day
kama hii wiki iliyopita nishachoma 100k
ugali wa shikamoo lakini
misosi hiyo na bando😂Acha kucheza dubu