Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Nataka kutafuta pesa Kwa nguvu zangu,nijihimu Kwa biashara yangu siyo unajihimu na kujitesa Kwa mshahara wa manamba na kuendeshwa kwingi
Kipi kilikushinda tokea mwanzo kutafuta kwa Nguvu zako....??? Nini unacho sasa hapo awali hukuwa nacho kilichofanya uombe Ajira...??

Nani alikwambia mtaani huendeshwi...??? Unaujua msoto wa kutafuta na kufanya follow up kwa Clients kila siku...?? Unajua kuzulumiwa...?? unajua ku-deal na watu mbalimbali...??? Unaijua Stress ya kutouza bidhaa siku nzima...??Unaijua stress ya kulipa kodi ya frem na biashara haiendi..?? Unawajua TRA na vitabu vyao vya RETURN na System zao mbovu zinazokubali hadi deadline ipite....

Je, upo tayari kulipa gharama za maamuzi unayotaka kufanya.....???? au ni Stori tu za Staff zinakufanya upate Mzuka uanze kushoboka na kabichi za mpito.....

Kama Upo tayari usichelewe,,,, Acha kazi na ukafanye hayo unayohisi yatakufaa,,,,usidharau IDEA zako,,,huwenda Riziki yako ipo huko unapotaka kwenda.

KATIKATI YA JANA NA KESHO HAPO NDIO KUNA MUDA WA KUFANYA MAAMUZI so kazi ni kwako,,,, Unaweza kufuata unachotaka au Ukangojea urithi...
 
Kipi kilikushinda tokea mwanzo kutafuta kwa Nguvu zako....??? Nini unacho sasa hapo awali hukuwa nacho kilichofanya uombe Ajira...??

Nani alikwambia mtaani huendeshwi...??? Unaujua msoto wa kutafuta na kufanya follow up kwa Clients kila siku...?? Unajua kuzulumiwa...?? unajua ku-deal na watu mbalimbali...??? Unaijua Stress ya kutouza bidhaa siku nzima...??Unaijua stress ya kulipa kodi ya frem na biashara haiendi..?? Unawajua TRA na vitabu vyao vya RETURN na System zao mbovu zinazokubali hadi deadline ipite....

Je, upo tayari kulipa gharama za maamuzi unayotaka kufanya.....???? au ni Stori tu za Staff zinakufanya upate Mzuka uanze kushoboka na kabichi za mpito.....

Kama Upo tayari usichelewe,,,, Acha kazi na ukafanye hayo unayohisi yatakufaa,,,,usidharau IDEA zako,,,huwenda Riziki yako ipo huko unapotaka kwenda.

KATIKATI YA JANA NA KESHO HAPO NDIO KUNA MUDA WA KUFANYA MAAMUZI so kazi ni kwako,,,, Unaweza kufuata unachotaka au Ukangojea urithi...
Asante sana
 
Kiufupi umeachwa si ndivyo, usifikie hatua ya kuchoka kuishi kisa tu mtu ambaye hamkutoka bebeo moja amekuacha yaani yeye alizaliwa kivyake na wewe umezaliwa kivyako, maisha bado yanaendelea, usaliti upo, kuachwa kupo, ila unajiuliza tumaini lako moja nini, ukigundua kuwa lipo tumaini basi hapo ndipo ilipo msingi wa thamani yako, 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐭𝐡𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 𝐦𝐭𝐮 𝐲𝐞𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐞𝐳𝐚 𝐦𝐚𝐜𝐡𝐨𝐧𝐢 𝐩𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐚 𝐩𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐝𝐚𝐦𝐮 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐨𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐚 𝐮𝐦𝐡𝐢𝐦 𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐮 𝐡𝐚𝐢
 
Kuhusu Mapenzi pole sana Hawa wanaume wenzangu wamebadilika sana siku hizi, nikiwaambia tubaki na mwanamke mmoja hawataki mimi nimeamua nibaki zangu single
 
Back
Top Bottom