Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mi naona nyie hamjachoka.
Mad max niambie wewe umechoka nin?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naona nyie hamjachoka.
Nimechoka na hii ajira balaaa.
Nipo Head Quarters, Basi, Watumishi wa vijijini na Katani na hata wengine wa Head Quarters....
1. Wanaona na faidi
2. Wengine nikiwatembelea na gari la serikali kwa route za kazi za field, vile naendeshwa na dereva basi wanaona nafaidi.
3. Kuna watumishi wale nilioajiriwa nao pamoja (tuli-report mwaka mmoja), wakiniona nipo juu yao wao hunipa hongera tuuu
Yaani kifupi watumishi wengi niliokuwa nao junior level Leo wakiniona hapa head quarters na ofisi + computer wanaona nimefanikiwaa ila DIP DOWN MY HEART HII AJIRA IMENICHOSHA SANAAA.
YAANI SIIPENDI TENA.
NIMECHOKA HASAAA NA HUU UTUMISHI WA UMMA.
YAANI NIMECHOKAAAAAAAAA
#YNWA
Sawasawa mkuuExactlly mkuu, unaungana na mimi kua kama ungekua na mwanaume anaeprovide ipasavyo (ambalo ndio jukumu lake) USINGESUMBUKA NA KAZI. Passion yako ingebaki kulea watoto.
Kwanini hauko na mwanaume au uliyenae haprovide "vya kutosha" ni kwakua haoni umuhimu wa kuprovide kwa limwanamke ngangaqi asie mnyenyekevu mwenye kiburi na mjuaji
na kwanini wewe sio mnyenyekevu well simple, ni kwakua unakajiajira kanakutia kiburi na ujuaji.
Depression. Kazi. Relationship. Loneliness. Anxiety. Stress.Mad max niambie wewe umechoka nin?
Hulalagi weweJaman🥺
PoleNatakiwa niamke kwenda kazini ila ndiyo najivuta kweli
Depression. Kazi. Relationship. Loneliness. Anxiety. Stress.
Kazi aisee.Chagua kimoja kinachokuchosha zaidi
😂😂😂Kazi aisee.
Mfano sahivi 10:30am ndio naenda job.
Nishamjibu mengine nabaki nayo mwenyewe maana niliyoyapitia ni maumivu yangu.Yote kheri vile aonavyoMkuu to yeye huyu ndugu yangu The unpaid Seller atakuwa na hoja nzito sana.
Sema tu unajibu short-cut, ila ungetaka suluhu na kujibu kwa ufasaha huenda tayari tatizo lako lingeshaisha(in psychological point of view)
Ili upone unachopitia, ni lazima uainishe tatizo, short of that huenda unaongezea stress juu ya nyingi ulizonazo.Nishamjibu mengine nabaki nayo mwenyewe maana niliyoyapitia ni maumivu yangu.Yote kheri vile aonavyo