Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Unaona Nakadori wanawake by default mko wired kulea huo ndio wito na eneo lenu la umahiri na huko ndio kwenye furaha na amani ya kweli ya mioyo yenu. Huku kujifanya marais ni kujilisha upepo. hampapata amani wala furaha kugombania vyeo huku watoto wenu wakilelewa na mahouse girl.
Mbona hamtaki tuache kaz,mi ningepata wa kunitunza na wanetu aisee,kaz naacha kabisa
 
Nice guess kama kaolewa, then ni ndoa ile ya ngi ngi ngi, usinibabaishe, kama kusoma na mimi nimesoma full mitifuano bampa to bampa.

kuna sehemu anasema "kachoka kua kwenye mahusiano" well lets digest that, shall we ?! mwanamke anayependwa na kujaliwa hawezi kuchoka uhusiano, na kwanini hapendi booom !! back to spuare one ujuaji mwingi mixa jeuri. Hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu.

Kuna uzi niliandika Elimu na pesa vikiwa kwa mwanamke, heshima hukosa nafasi kwake. (Wanawake wengi wakipata vijiajira huota mapembe)

Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi
Nimekuelewa mkuu
 
Nikurekebishe kidooogo, sio hao waalimu tu, mwanamke yeyote hata awe CEO ila akikosa kupendwa na kuhudumiwa lazima achoke maisha.

Mwanamke kiasili hapati furaha na amani kutokana na cheo, fedha etc. Mwjnamke apaswa kupendwa, kulindwa na kuhudumiwa. Mtoa mada anateswa na upweke ambao ni zao la feminism na maharakati ya 50/50 yanayoharibu hulka na adabu zenu

Wako wanawake wengi maosifini wenye vyeo vya maana ila wanatembea kama mazombie tu, hawana furaha yoyote kama mtoa mada.

Awoman's satisfaction is being loved and admired while a man's satisfaction is being successful, needed and providing sasa wanamaketwa kileo mmelishwa sumu mnadhani mavyeo yatawaga furaha mnakuja kugundua vinginevyo kama mtoa mada.
Sure,nawapenda wanangu kuliko kaz,ila kaz ndo inawafanya wale
 
Huyu ilifaa awe mama wa nyumbani na hata maelezo yake unaona "anatamani muda wake autumie kulea watoto wake"

Sasa mahaki sawa 50/50 yakamsomba na yeye akalipuka nayo mazima kama walivyomjaza masumu. Alitaka asije "kubabaishwa na mume" cha ajabu hata huyo mume hajampata.
Aisee
 
Misery loves company... utajiskia vizur soon kama sio tayari ushakuwa sawa.
 
Najua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo[emoji849]).

Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na

1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)

3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn

4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.

5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.

Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.[emoji120]


Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
Hope teacher of the decade
 
Sure,nawapenda wanangu kuliko kaz,ila kaz ndo inawafanya wale
Exactlly mkuu, unaungana na mimi kua kama ungekua na mwanaume anaeprovide ipasavyo (ambalo ndio jukumu lake) USINGESUMBUKA NA KAZI. Passion yako ingebaki kulea watoto.

Kwanini hauko na mwanaume au uliyenae haprovide "vya kutosha" ni kwakua haoni umuhimu wa kuprovide kwa limwanamke ngangaqi asie mnyenyekevu mwenye kiburi na mjuaji

na kwanini wewe sio mnyenyekevu well simple, ni kwakua unakajiajira kanakutia kiburi na ujuaji.
 
Back
Top Bottom