Nice guess kama kaolewa, then ni ndoa ile ya ngi ngi ngi, usinibabaishe, kama kusoma na mimi nimesoma full mitifuano bampa to bampa.
kuna sehemu anasema "kachoka kua kwenye mahusiano" well lets digest that, shall we ?! mwanamke anayependwa na kujaliwa hawezi kuchoka uhusiano, na kwanini hapendi booom !! back to spuare one ujuaji mwingi mixa jeuri. Hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu.
Kuna uzi niliandika Elimu na pesa vikiwa kwa mwanamke, heshima hukosa nafasi kwake. (Wanawake wengi wakipata vijiajira huota mapembe)
Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi