Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Nomwchoka zaidi baada ya kuishi duniani nikijua mama yangu ndo basi tena sitamuona.
Nimeamua kuishi bila kujali chochote zaidi ya ahueni ya Leo tu
Pole cute,Dunia ina mengi
 
Bado sijachoka mpaka nime retire from employment ila sijachoka.

Sina mume, ninapambana kivyangu,

watoto wamekua.

Sijachoka kabisa, sijachoka kujenga, sijachoka kuwahi kuamka saa 11 alfajiri, sijachoka kusafisha mazingira, sijachoka kuwapenda jirani zangu.

Sijachoka kutenda mema japo wengine wananiumiza.

Sijachoka kusoma Biblia japo hii nasoma awamu ya tano ila sijachoka.

Sijachoka kumpenda padre japo ananizingua more times.

Nakuomba mleta uzi usichoke, jitie nguvu mwenyewe, ongeza sala na dua, usichoke.
 
Bado sijachoka mpaka nime retire from employment ila sijachoka.

Sina mume, ninapambana kivyangu,

watoto wamekua.

Sijachoka kabisa, sijachoka kujenga, sijachoka kuwahi kuamka saa 11 alfajiri, sijachoka kusafisha mazingira, sijachoka kuwapenda jirani zangu.

Sijachoka kutenda mema japo wengine wananiumiza.

Sijachoka kusoma Biblia japo hii nasoma awamu ya tano ila sijachoka.

Sijachoka kumpenda padre japo ananizingua more times.

Nakuomba mleta uzi usichoke, jitie nguvu mwenyewe, ongeza sala na dua, usichoke.
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
 
Ila na wewe kwanini ufanye kazi usiyoipenda?? me hayo mambo ndo huwa siyawezi asee
Ni kutokana na kuvamia nafasi yoyote ilimradi fursa zijazwe ili kufikia 50/50 haki sawa bila kuangalia passion, calling, skills, ability wala talents. Kuna mwingine huko kaukwaa urais ni full vioja hana maono, hana dira hana plan yoyote bora liende ni full kuropoka utasikia "kuleni urefu wa kamba"
 
Bado sijachoka mpaka nime retire from employment ila sijachoka.

Sina mume, ninapambana kivyangu,

watoto wamekua.

Sijachoka kabisa, sijachoka kujenga, sijachoka kuwahi kuamka saa 11 alfajiri, sijachoka kusafisha mazingira, sijachoka kuwapenda jirani zangu.

Sijachoka kutenda mema japo wengine wananiumiza.

Sijachoka kusoma Biblia japo hii nasoma awamu ya tano ila sijachoka.

Sijachoka kumpenda padre japo ananizingua more times.

Nakuomba mleta uzi usichoke, jitie nguvu mwenyewe, ongeza sala na dua, usichoke.
Thats great madam,

Bila shaka haujachoka kua feminist pia haujachoka kua single mother japo unasoma Biblia ila bado haujajifunza kusudi la Mungu ni watoto walelewe na baba na mama.

Unaona umwamba kulea mwenyewe ila unalea vijana walemavu wa maadili, 89% ya wahalifu na wafungwa walilelewa na single mothers.
 
Najua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo🙄).

Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na

1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)

3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn

4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.

5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.

Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.🙏


Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
Pole sana Dada yangu mwenye Enzi Mungu akutie nguvu.
 
Najua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo🙄).

Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na

1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)

3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn

4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.

5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.

Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.🙏


Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
Pole sana Dada yangu mwenye Enzi Mungu akutie nguvu.
 
mi kukosa pesa ndo kunanifanyaga nihisi kuchoka kila kitu. ila pia nimechoka sana kuwa single jmn
 
Thats great madam,

Bila shaka haujachoka kua feminist pia haujachoka kua single mother japo unasoma Biblia ila bado haujajifunza kusudi la Mungu ni watoto walelewe na baba na mama.

Unaona umwamba kulea mwenyewe ila unalea vijana walemavu wa maadili, 89% ya wahalifu na wafungwa walilelewa na single mothers.
aiseee
 
Bado sijachoka mpaka nime retire from employment ila sijachoka.

Sina mume, ninapambana kivyangu,

watoto wamekua.

Sijachoka kabisa, sijachoka kujenga, sijachoka kuwahi kuamka saa 11 alfajiri, sijachoka kusafisha mazingira, sijachoka kuwapenda jirani zangu.

Sijachoka kutenda mema japo wengine wananiumiza.

Sijachoka kusoma Biblia japo hii nasoma awamu ya tano ila sijachoka.

Sijachoka kumpenda padre japo ananizingua more times.

Nakuomba mleta uzi usichoke, jitie nguvu mwenyewe, ongeza sala na dua, usichoke.
Mungu na akubariki na kukupa nguvu zaidi na zaidi kwa ajili ya ushuhuda kwa wengine.
 
Ni kutokana na kuvamia nafasi yoyote ilimradi fursa zijazwe ili kufikia 50/50 haki sawa bila kuangalia passion, calling, skills, ability wala talents. Kuna mwingine huko kaukwaa urais ni full vioja hana maono, hana dira hana plan yoyote bora liende ni full kuropoka utasikia "kuleni urefu wa kamba"
Lol labda tumuulize mtoa mada kwamba yeyw ilikuwaje hadi akaamua kuwa mwalimu
 
Back
Top Bottom