Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiambiwa mwanamke aliumbwa kulea watoto ndio wito wake mko eeeh oooh haki sawa bla bla blah haya sasa yako wapi ?! Nishasema kazi, cheo haviwezi kumpa mwanamke furaha hamsikii kutwa kuzungusha mbunye kwenye maNajua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo🙄).
Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na
1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)
3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn
4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.
5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.
Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.🙏
Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
Uko sahihi,lakini Kuna wanaume hawalei watoto tunalea wenyewe,je si haki yetu kufanya kaz?Mkiambiwa mwanamke aliumbwa kulea watoto ndio wito wake mko eeeh oooh haki sawa bla bla blah haya sasa yako wapi ?! Nishasema kazi, cheo haviwezi kumpa mwanamke furaha hamsikii kutwa kuzungusha mbunye kwenye ma
Pia Kama mazingira unaona hayakufarahishi tafuta uhamisho, Hama....kuna groups za kubadilishana vituo huko FB...weka ombi lako.Asante sana love
Naona nalo hili la kuhama yaweza kuwa dawaPia Kama mazingira unaona hayakufarahishi tafuta uhamisho, Hama....kuna groups za kubadilishana vituo huko FB...weka ombi lako.
Usikate tamaa, Mimi nimefanikiwa nimehama.....though ulikuwa mchakato mgumu, Ila mwishowe nilifanikiwa.
Sikudanganyi I was depressed, Yani naelewa unachopitia....Ila nilianza na hizo mbinu...kujipenda, kujitahidi kupenda Yale mazingira though yalikuwa yamenichosha.
Bora nikahangaike na Maisha Mauritius,Port Louis..Maisha ya Tanzania yamenikomeshaUnataka uende wapi cute
Nyumbani ni nyumbani tu mpendwa.Bora nikahangaike na Maisha Mauritius,Port Louis..Maisha ya Tanzania yamenikomesha
Njoo Botswana....Pole Sana,Mimi nimeichoka Tanzania.
SA je?kukoje?
Mungu mwema.Tia nia mpenz
..kupanga ni kuchagua
Tutarudi tukishazipata.Nyumbani ni nyumbani tu mpendwa.
Sawa nakuchek.Njoo Botswana....
Kuna unafuu kidogo...
Hapo kwenye mahusiano, mimi nimechoka kuwa single [emoji27]Najua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo[emoji849]).
Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na
1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)
3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn
4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.
5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.
Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.[emoji120]
Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
Lini mama tuanze safariBora nikahangaike na Maisha Mauritius,Port Louis..Maisha ya Tanzania yamenikomesha