Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yalivyo matamu haya, unahitaji msaada wa haraka wewe, usije kufanya ya mkwawa na wajukuu zake wa IRINGANimechoka kuishi kwa kweli. Ooohhhpppss
Yaan najihisi kufa kufa tyuuh, nshachoka kuishi haswaa.Maisha yalivyo matamu haya, unahitaji msaada wa haraka wewe, usije kufanya ya mkwawa na wajukuu zake wa IRINGA
Barikiwa sana mjoli.Kati ya nyimbo nazipenda sana hii ni moja wapo uwa natamani kila jmosi kabla sijatoka church niusikie nyingine ni,
3.Mungu atukuzwe
14.Nitembee nawe
80-Tupe moto wa uhai
85-Salama tumepita
131-Baba anilinda
143-Naamini.
Yapi mazito yaliyokusibu kiasi unatamani hivi?Yaan najihisi kufa kufa tyuuh, nshachoka kuishi haswaa.
Nimeichoka CCMNimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa
Barikiwa sana mkuuPole sana to yeye usichoke kuishi.Uhai ni dhamana takatifu,naye ni Mungu pekee anayetuwezesha kuutunza na kuutumia kwa utukufu wake.
Kuna watu wanapitia majaribu makubwa ukisimulia unasema yangu cha mtoto.Jifunze kuachilia moyo wako,love yourself first,enjoy, pray and be happy.
😔yaan acha tu mkuuNi wakati sasa wanasaikolojia wafungue vituo/centers kwa ajili ya ushauri wa kitabibu hasa katika afya ya akili. Wengi tunakuwa na vipindi vya namna hii, you think the weight of the whole world is on your shoulders.
Hauko peke yako, ni wengi tunapitia hali hii. Just yesterday kazini kuna jamaa alianzisha hii mada, akajumlisha na inflation iliyopo, unaona kabisa depression is kicking his ass..
Ni PM tafadhali.Asante sana mkuu,nimeanza kupoa