Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Hapo tutakukimbilia sana
Kumbe nikikatwa vidole mguu mmoja tayari nakjwa milionea.
Nikunganisha na figo ndio kabia hamna mrembo atanikataa hapa jf pamoja na sura yangu pesono
 
Daah pole sana dada ila haupo pekee yako me muda natoka kwenye shughuli ya boss inayoniingizia kipato uwa nakuwa depressed sana bila sababu unakuta nahisi njaa ila sitaman kula chochote nachukia maisha kiujumla ila nashukuru Mungu nimeanza maombi ambayo yananisaidia kidogo kuniondolea hii hali plus music napendelea zaidi kuzirudia nyimbo hzi mbili,
Darasa ft Ben Paul-SIKATI TAMAA
Madee ft TundaMan-PESA
Asante sana kamanda...yaan mawazo hayapingiki
 
Tuliza kichwa dada maisha ni haya haya, unayopitia wewe na wengine nao wanapitia kwa namna tofauti.
Usione watu wana maisha flani au wana magari, majumba na biashara lkn pia wana mambo magumu sana wanayapitia lkn wanavumilia
 
Tuliza kichwa dada maisha ni haya haya, unayopitia wewe na wengine nao wanapitia kwa namna tofauti.
Usione watu wana maisha flani au wana magari, majumba na biashara lkn pia wana mambo magumu sana wanayapitia lkn wanavumilia
Nimekuelewa mkuu,Asante sana
 
Maisha ni zawadi usiwaze kuyapoteza kizembe, mapenzi na pesa hayo yapo tu hata uzeeni utayakuta
Asante sana,ngoja nisubiri ....naamini Kila jambo Lina muda
 
Kwani mlioko makazini na mnasema mmechoka huko makazini kwanini msibuni mradi walau hata baada ya miaka 3 muondokane na hizo ajira??

Hiyo yote inatokana na ile ratiba ya kimazoea kuamka mda ule ule kila siku, kurudi muda ule ule, kufanya kitu kile kile kila siku kwa mwaka mzima.

Ndio maana wanafunzi wanachoka na wanatamani shule zifungwe na wakimaliza hufurahi coz ratiba zinabadilika wakimaliza, tofauti na walimu wao ambao kila siku huenda mpaka kifo ni ratiba ile ile!!.

Mi nadhani mkuu nyie mlio kwenye ajira rasmi basi jitahidini kua na mradi nje ya ajira unaokubadilishia ratiba, hizo ratiba za kianafunzi ndo zinachosha sana.

Ajira iwe sehemu ya kujipatia pesa kidogo lakini mradi ukuingizie kikubwa, hii ya kuamka kila siku ukiwaza wanafunzi aisee ni changamoto sana.
 
Kwani mlioko makazini na mnasema mmechoka huko makazini kwanini msibuni mradi walau hata baada ya miaka 3 muondokane na hizo ajira??

Hiyo yote inatokana na ile ratiba ya kimazoea kuamka mda ule ule kila siku, kurudi muda ule ule, kufanya kitu kile kile kila siku kwa mwaka mzima.

Ndio maana wanafunzi wanachoka na wanatamani shule zifungwe na wakimaliza hufurahi coz ratiba zinabadilika wakimaliza, tofauti na walimu wao ambao kila siku huenda mpaka kifo ni ratiba ile ile!!.

Mi nadhani mkuu nyie mlio kwenye ajira rasmi basi jitahidini kua na mradi nje ya ajira unaokubadilishia ratiba, hizo ratiba za kianafunzi ndo zinachosha sana.

Ajira iwe sehemu ya kujipatia pesa kidogo lakini mradi ukuingizie kikubwa, hii ya kuamka kila siku ukiwaza wanafunzi aisee ni changamoto sana.
Kwahiyo niombe likizo bila malipo?
 
Back
Top Bottom