Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Najua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo[emoji849]).

Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na

1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)

3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn

4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.

5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.

Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.[emoji120]


Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
Mungu akutie nguvu mpenz.... Unahitaji kuendelea kuishi kwa sababu ya watoto na wao ndio wapenzi wako wa kweli........ Unatakiwa uendelee kufanya Kazi na kupambana kwa sabb Kazi ndo baba na mama yako kweny shida, kweny raha...... Endelea kumuomba Mungu pia ulinzi na afya...... Bila kusahau ukipata muda wa kupumzika pumzika itakusaidia kujihisi vizuri
 
Najua ni muda wa kaz huu,ila tulikuwa na kaz ya kuhakikiwa Ivo imekwisha mapema sana Leo inategemea na kuwahi kwako(tunahakikiwa Kila Leo🙄).

Sasa ni hivi,Kuna muda unajihisi kuchoka na Kila kitu au kitu Fulani.Kwa mfano Mimi nimechoka na

1.Mapenzi(kuwa kwenye mahusiano)
2.Kuongea na watu kwenye simu kuhusu mapenz (hapa ndo nimechoka kabisaa,yaan sitaki)

3.Kufikiri yaan kichwan kimechoka kuwaza hili na lile at least namna ya kupata hela na kulea watoto napata faraja kuwazia Ivo vitu lakini siyo kumfikiria Fulani sijui,kufikiria sijui nn

4.Nimechoka na kaz yangu(ualimu) kuwahi asubuhi kwenda kuitumikia kaz inayonididimiza kiuchumi,I wish hiyo 11 alfajiri ninapoamka kuoga nioge Kwa biashara yangu nitakayotesekea mpaka usiku lakini inanipatia mafanikio.

5.Nimechoka kuishi pia,mechoka sana kiukweli ni vile nina watoto naogopa nikizima watateseka.

Ee Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.🙏


Kama tupo wengi katika hili tufarijiane bas
Kha kumbe mapenzi nayachosha hivi.
Aise sasa kama vipi njoo basi nikupe mtaji uanzishe biashara unayotaka.
 
Mungu akutie nguvu mpenz.... Unahitaji kuendelea kuishi kwa sababu ya watoto na wao ndio wapenzi wako wa kweli........ Unatakiwa uendelee kufanya Kazi na kupambana kwa sabb Kazi ndo baba na mama yako kweny shida, kweny raha...... Endelea kumuomba Mungu pia ulinzi na afya...... Bila kusahau ukipata muda wa kupumzika pumzika itakusaidia kujihisi vizuri
Asante sana na ubarikiwe sana...
 
Back
Top Bottom