Tunaokwenda usiku huu Dodoma tupite Didz, Starpark, Samaki Morogoro, ntakuwepo sehemu zote

Tunaokwenda usiku huu Dodoma tupite Didz, Starpark, Samaki Morogoro, ntakuwepo sehemu zote

Uhali gani mkuu? [emoji23][emoji23] Bado network zinasoma??
Dah mambo ya mwisho wa mwaka haya..
 
Mkuu wakati unaingia mwambie dj apige nyimbo ya mondi ya kidole mama kidole wewe wakati huo unaingia huku unazunguka [emoji28][emoji23] kula maisha mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom