Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Niweke maji kwenye chupa inayouzwa elfu 3 jamani? Halafu iweje? Vyuma havijakaza kwa wote mkuu pambana na hali yako kama hata kununua Heineken unaona big deal.
Hiyo chupa umeokota jalalani.huku kwetu hatuna vyuma,tuna plastic tyuuu.
 

hahaha mie natumiaga hii yenye ladha ya soda !ila kaliiii !hapa nipo ya 4 nahis vinyota viduchuuuu ! wee ile smirnof mie naiheshim siiwez ! nipo tungi nzuri tu kwakwel ya kuniwezehsa kulala
 
[emoji3] eti wafia dini[emoji3]
 
Pamoja na kwamba umeweka maji kwenye hiyo chupa,bado chupa imekuzidi mng'ao.mguu kama paja la beberu na mkono kama mkia wa kondoa.kwa kweli umevutiaaa[emoji122][emoji122][emoji122]
Hahahahahaha
Ukute we kabayaaa kama kiwango cha lami
 
Pamoja na kwamba umeweka maji kwenye hiyo chupa,bado chupa imekuzidi mng'ao.mguu kama paja la beberu na mkono kama mkia wa kondoa.kwa kweli umevutiaaa[emoji122][emoji122][emoji122]
Hahahahahaha
Ukute we kabayaaa kama kiwango cha lami
 
hahaha mie natumiaga hii yenye ladha ya soda !ila kaliiii !hapa nipo ya 4 nahis vinyota viduchuuuu ! wee ile smirnof mie naiheshim siiwez ! nipo tungi nzuri tu kwakwel ya kuniwezehsa kulala
Hiyo ya soda utamu wake ulinishindaga. Nilikunywaga 2012 since then sijainywa tena.
 
Such a nice drink mkuu. Naipenda sana ni Kali lakin INA ladha iliyotulia sana.
 
Wazuri hawawasemagi wenzao. Wabaya na wenye stress saa hizi za kushindwa kununua hata konyagi ya 3500 ndo mineno inawatoka.
Huwez kuwa na sura ama umbo la kuvutia ukanywa grants kisha ukamix na heineken.lazima utakuwa na stress za kutosha.tukiwaambia msikubali kuwa michepuko hamtak.ona sasa uko na stress ya jamaa na leo jamaa anajiandaa na new year.yuko na familia yake.kalagha bhaoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…