Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Nililewa jana leo napuliza tu taratiiiibu nikiukaribisha mwaka.

Haahaaaaa!! NIMEKUDHARAUUUU!!!
Wanawake wa jf nitaendelea kuwadharau mpaka kufa,,wa kwangu tu ndio malaika
Kwanza mnawaua watu kwa makusudi nitawaumbua,,
Nimewadharau kabisa
 
Na ninawaonya mnanifata pm kunitongoza halag hapa majifanya fanyaa nitwaumbuaa mimi ndio Dina



[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wasamehe tu...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 664599 acha nilewe tu siko poa kabisa leo,,nakunywa mpaka nizime hata siku mbili,,leo hakuna kulala nakunywa tu
Pia pole kwa kipenzi changu unaeumwa najua soon utapona utakuwa sawa ... Unajua venye navyokupenda
Ngoja niendeleee ,,kama yeyote unakunywa piga picha kinywaji unachokunywa rusha hapa
Walokole sijui wafia dini sio uzi wenu huu muende jukwaa la dini,,watoa ushauri peleken maombi kwa mods mtoe ushauri,,
Tuendeleeeeee
then unataka mwanamume bikira akuowe duh!! tutafika tu taratibu.
 
Back
Top Bottom