Tunaomba kiundwe chombo cha kusikiliza madai na madeni ya wazabuni wote wanaoidai serikali nchi nzima

Tunaomba kiundwe chombo cha kusikiliza madai na madeni ya wazabuni wote wanaoidai serikali nchi nzima

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Hili naamini liko ndani ya uwezo na maamuzi yenu.

Kwa ridhaa yenu tunaomba kiundwe chombo cha kusikiliza madai na madeni ya wazabuni wote wanaoidai serikali nchi nzima , madeni yanayo anzia miezi 3 na kuendelea kulingana na sheria ya manunuzi ya nchi yetu.

Kisha Taasisi inayosumbua wazabuni au mtu awajabishwe na taasisi itangazwe kwa umma wa Tanzania pia.

Wazabuni wanateseka sana japo wachache sio waaminifu lakini walio waaminifu na haki wanateswa sana na baadhi ya watendaji wa taasisi za serikali. Tunawaomba mlitizame hili kwa jicho la kipekee.

Dhuruma si nzuri and Karma is real nchi inaweza pita pagumu kwa chozi la mtu 1 mwenye haki.
 
tuhubiri na injili kidogo aisee. wengine hawakwenda kanisani.

kilio cha wana wa israel
ukaidi wa farao
vifo vya wasio na hatia; wakiwemo uzao wa kwanza, maradhi, ukame, kadhia ya nzi
 
Hili naamini liko ndani ya uwezo na maamuzi yenu.

Kwa ridhaa yenu tunaomba kiundwe chombo cha kusikiliza madai na madeni ya wazabuni wote wanaoidai serikali nchi nzima , madeni yanayo anzia miezi 3 na kuendelea kulingana na sheria ya manunuzi ya nchi yetu.

Kisha Taasisi inayosumbua wazabuni au mtu awajabishwe na taasisi itangazwe kwa umma wa Tanzania pia.

Wazabuni wanateseka sana japo wachache sio waaminifu lakini walio waaminifu na haki wanateswa sana na baadhi ya watendaji wa taasisi za serikali. Tunawaomba mlitizame hili kwa jicho la kipekee.

Dhuruma si nzuri and Karma is real nchi inaweza pita pagumu kwa chozi la mtu 1 mwenye haki.
Wezentu wamehonga helcopita ya Billion 10
 
Wazabuni changeni hela mnunue chopa ya Samia kwa ajili ya kampeni za urais, mtalipwa hela zenu mpk mtashangaa.
 
Hili naamini liko ndani ya uwezo na maamuzi yenu.

Kwa ridhaa yenu tunaomba kiundwe chombo cha kusikiliza madai na madeni ya wazabuni wote wanaoidai serikali nchi nzima , madeni yanayo anzia miezi 3 na kuendelea kulingana na sheria ya manunuzi ya nchi yetu.

Kisha Taasisi inayosumbua wazabuni au mtu awajabishwe na taasisi itangazwe kwa umma wa Tanzania pia.

Wazabuni wanateseka sana japo wachache sio waaminifu lakini walio waaminifu na haki wanateswa sana na baadhi ya watendaji wa taasisi za serikali. Tunawaomba mlitizame hili kwa jicho la kipekee.

Dhuruma si nzuri and Karma is real nchi inaweza pita pagumu kwa chozi la mtu 1 mwenye haki.
Hicho chombo chenyewe lazima kitakuwa kinaidai serikali. Sasa sijui itakuaje?
 
Back
Top Bottom