MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kutokana na Umuhimu na Unyeti wa huu Muungano wa Bara na Visiwani nimeambiwa kuwa Watu wa Itifaki katika Awamu zote zilizopita walikuwa Wakihakikisha Ratiba za Rais kamwe haziingiliani na Siku hii ya Muungano na kwamba ni lazima Mheshimiwa Rais awepo kutokana na kuwa pia ni Moja ya Tunu ya Nchi ( Taifa )
Watetezi wake Mama ( Team Kutetea Kila Kitu ) nawaomba hakikisheni mkija Kulifafanua hili mje na Hoja za maana zenye Mantiki ( Logic ) kabisa juu ya Jambo hili ambalo hata Watu wengi wa Itifaki na Wazalendo wa Taifa limewashtua / limetushtua mno.
Wengine wanadai Muungano umetukanwa kutokana na hili lakini wengine wanadai taratibu Tunu za Taifa zinaanza Kupuuzwa huku wengine pia wakidai huenda limefanyika Kusudi ili Kuchochea zaidi Mzozo wa chini chini kuwa kuna Watu wanataka Wawe peke yao kwa Kujidanganya kuwa Wanajiweza wakisahau kuwa hata Umeme wao tu umetokea katika Nguzo za Tegeta Azania, zikazama Baharini na kuwafikia Kwao.
Watetezi wake Mama ( Team Kutetea Kila Kitu ) nawaomba hakikisheni mkija Kulifafanua hili mje na Hoja za maana zenye Mantiki ( Logic ) kabisa juu ya Jambo hili ambalo hata Watu wengi wa Itifaki na Wazalendo wa Taifa limewashtua / limetushtua mno.
Wengine wanadai Muungano umetukanwa kutokana na hili lakini wengine wanadai taratibu Tunu za Taifa zinaanza Kupuuzwa huku wengine pia wakidai huenda limefanyika Kusudi ili Kuchochea zaidi Mzozo wa chini chini kuwa kuna Watu wanataka Wawe peke yao kwa Kujidanganya kuwa Wanajiweza wakisahau kuwa hata Umeme wao tu umetokea katika Nguzo za Tegeta Azania, zikazama Baharini na kuwafikia Kwao.