kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
Naweza sema hizi Barabara hasa hii inayoanzia Katumba - Mwakaleli- Rwangwa- hadi Kyela ni muhimu sana kiuchumi.
Huko ndiko inatolewa gesi ya carbon dioxide hiyo inayotumika kwenye vinywaji, mafridge nk.
Huko kuna mashamba makubwa ya chai na kiwanda cha chai. Hivyo utaona umuhimu wa eneo hilo kiuchumi.
Huko kuna mashamba makubwa ya zao la ndizi. Sehemu kubwa ya ndizi zinazoliwa Iringa, Dodoma , DSM zinatoka huko. Tatizo wakati wa mvua za masika ndizi zaozea mashambani maana gari hazifiki huko.
Rungwe Mashariki pia kuna ufugaji makubwa wa ng'ombe wa maziwa. Hata hivyo maziwa mengi yanayozalishwa huko yanakosa thamani na kuuzwa mbei ya chini kwani kuyasafirisha kwenda mjini Tukuyu it is expensive kwa sababu ya ubovu wa miundombinu ya barabara.
Wakati wa mvua za masika hizi barabara zinapitika kwa shida sana.
Hivyo tunaomba basi mnapo ijenga Chato, tukumbukeni na siye huku japo barabara tu.
Huko ndiko inatolewa gesi ya carbon dioxide hiyo inayotumika kwenye vinywaji, mafridge nk.
Huko kuna mashamba makubwa ya chai na kiwanda cha chai. Hivyo utaona umuhimu wa eneo hilo kiuchumi.
Huko kuna mashamba makubwa ya zao la ndizi. Sehemu kubwa ya ndizi zinazoliwa Iringa, Dodoma , DSM zinatoka huko. Tatizo wakati wa mvua za masika ndizi zaozea mashambani maana gari hazifiki huko.
Rungwe Mashariki pia kuna ufugaji makubwa wa ng'ombe wa maziwa. Hata hivyo maziwa mengi yanayozalishwa huko yanakosa thamani na kuuzwa mbei ya chini kwani kuyasafirisha kwenda mjini Tukuyu it is expensive kwa sababu ya ubovu wa miundombinu ya barabara.
Wakati wa mvua za masika hizi barabara zinapitika kwa shida sana.
Hivyo tunaomba basi mnapo ijenga Chato, tukumbukeni na siye huku japo barabara tu.