Mtanzania Mnyonge22
Senior Member
- Sep 2, 2022
- 125
- 455
- Thread starter
- #21
Inaendelea👇🏽
Yule Shahidi wa Pili Tulifkiri ni Mteja tu wa Mahakamani, ila Mmoja wetu alikaa Benchi moja nao na akamsikia akimuuliza Mlinzi “Una uhakika bosi wako atatulipa Vizuri au tumekuja Kujichoresha tu hapa Mahakamani?
Mlinzi akampa Ishara ya Kunyamaza kwakua Yule Shahidi Hatujui ila Mlinzi ndie anaetujua.
Yule Bosi na Mashahidi wake wakatoa Ushahidi wao wa Uongo kwamba Sisi Tulivamia tu Mgahawa asubuhi na Kuanza Kuzuia Wateja wasiingie Mgahawani, Mlinzi akadai tulikua Tunapiga Mpaka Bodi Za Magari ya Wateja, na wote walimtupia Lawama Supervisor kwamba ndie aliturubuni Tusiingie Kazini Tufanye Fujo, pia Tukio liliotokea Usiku Baina ya Mkewe na Wafanyakazi Walijifanya Hawalitambui na Muda wa Kuuliza Maswali Bosi alikataa kwamba Hakuna Polisi aliewasiliana nae na Kumuamuru tukutane asubuhi,
Nashkuru Mungu kwa Kujiamini Mmoja wetu akatoa simu na Kumwambia Mheshimiwa Hakimu tuna Ushahidi wa Voice baina ya Askari na Bosi wetu, Yule Bosi alitahayari akakiri kweli aliambiwa Tuonane asubuhi.
Mmoja wetu nae kwa Kujiamini aliomba Mahakama Itume Wataalam wakachunguze CCTV CAMERA WAJIONEE TUKIO LILIOTOKEA USIKU HUO, yule Bosi akajibu Camera Mbovu, na Mheshimiwa Hakimu akatueleza kwamba “Mahakama ya Mwanzo haichukui Ushahidi wa Kielectronic”.
Mmoja wetu aliuliza Mgahawa Unafunguliwa saa ngapi? Bosi akajibu saa 4 asubuhi, akamuuliza tena, mbona kwenye Matangazo na Ratiba mitandaoni imeandikwa Mgahawa unafunguliwa saa 6 mchana? Bosi akajibu “Tumeandika tu hivo”
Yule Shahidi wa Pili Tulifkiri ni Mteja tu wa Mahakamani, ila Mmoja wetu alikaa Benchi moja nao na akamsikia akimuuliza Mlinzi “Una uhakika bosi wako atatulipa Vizuri au tumekuja Kujichoresha tu hapa Mahakamani?
Mlinzi akampa Ishara ya Kunyamaza kwakua Yule Shahidi Hatujui ila Mlinzi ndie anaetujua.
Yule Bosi na Mashahidi wake wakatoa Ushahidi wao wa Uongo kwamba Sisi Tulivamia tu Mgahawa asubuhi na Kuanza Kuzuia Wateja wasiingie Mgahawani, Mlinzi akadai tulikua Tunapiga Mpaka Bodi Za Magari ya Wateja, na wote walimtupia Lawama Supervisor kwamba ndie aliturubuni Tusiingie Kazini Tufanye Fujo, pia Tukio liliotokea Usiku Baina ya Mkewe na Wafanyakazi Walijifanya Hawalitambui na Muda wa Kuuliza Maswali Bosi alikataa kwamba Hakuna Polisi aliewasiliana nae na Kumuamuru tukutane asubuhi,
Nashkuru Mungu kwa Kujiamini Mmoja wetu akatoa simu na Kumwambia Mheshimiwa Hakimu tuna Ushahidi wa Voice baina ya Askari na Bosi wetu, Yule Bosi alitahayari akakiri kweli aliambiwa Tuonane asubuhi.
Mmoja wetu nae kwa Kujiamini aliomba Mahakama Itume Wataalam wakachunguze CCTV CAMERA WAJIONEE TUKIO LILIOTOKEA USIKU HUO, yule Bosi akajibu Camera Mbovu, na Mheshimiwa Hakimu akatueleza kwamba “Mahakama ya Mwanzo haichukui Ushahidi wa Kielectronic”.
Mmoja wetu aliuliza Mgahawa Unafunguliwa saa ngapi? Bosi akajibu saa 4 asubuhi, akamuuliza tena, mbona kwenye Matangazo na Ratiba mitandaoni imeandikwa Mgahawa unafunguliwa saa 6 mchana? Bosi akajibu “Tumeandika tu hivo”