Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Masters nyingi ukitoa za kidaktari hawafanyi kaziSERIKALI SIKIVU YA Rais Samia Suluhu Hassan
"Tunaomba ianze kuitambua Elimu ya Shahada ya Pili kwenye Utumishi wa umma kwa kuiwekea Salary scale"
Africa pote Masters degree inatambulika kasoro Tz tu. Asante.