Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

SERIKALI SIKIVU YA Rais Samia Suluhu Hassan

"Tunaomba ianze kuitambua Elimu ya Shahada ya Pili kwenye Utumishi wa umma kwa kuiwekea Salary scale"

Africa pote Masters degree inatambulika kasoro Tz tu. Asante.
Uzi huu ukikubalika na Serikali mimi nitarudi tena shule.
 
SERIKALI SIKIVU YA Rais Samia Suluhu Hassan

"Tunaomba ianze kuitambua Elimu ya Shahada ya Pili kwenye Utumishi wa umma kwa kuiwekea Salary scale"

Africa pote Masters degree inatambulika kasoro Tz tu. Asante.
Bunge linaendelea labda wabunge watausoma huu ujumbe Kama hawapo busy na report ya CAG
 
SERIKALI SIKIVU YA Rais Samia Suluhu Hassan

"Tunaomba ianze kuitambua Elimu ya Shahada ya Pili kwenye Utumishi wa umma kwa kuiwekea Salary scale"

Africa pote Masters degree inatambulika kasoro Tz tu. Asante.
Afrika ipi hiyo? Masters degree ni added advantage tu.

Halafu kwa Tanzania masters degree nyingi ni za kubumba, unakuta mtu alisomea BA in education lakini ana Masters in Business Administration au BSc in Engineering halafu akapata Masters in Business Administration!

Kwa nini alishindwa kuendeleza taaluma yake ya mwanzo?
 
Tumefanya kazi na jamaa alikuwa na almost 16 kweny utumishi wa umma ana masters na alikuwa na cheo cha principal officer tu.
Sasa ni mkurugenzi kabisa karuka kumpita meneja mpaka juu...ila mda sana tangu awe mkurugenzi status zake naona zinahusu ishu za PhD sijui ndo anasomea maana anapost sana ishu za PhD.
Duh aisee hongera zake
 
Ninavyojua mimi ukipata masters kwanza unapewa ka 'hongera' kwa kupewa double increment.

Lakini pili, bila kuwa na masters hawezi kupanda cheo cha kiutumishi kufika level ya 'afisa mkuu', utakwama kwenye 'afisa mwandamizi'

Na tatu, kwenye taasisi nyingi za umma hauwezi kupata cheo cha kiuongozi (mfano meneja au mkurugenzi) kama hauna sifa hiyo ya elimu ya uzamili pamoja na sifa nyingine.

Zaidi ya hapo unataka nini?? Kazi nyingi serikalini zinaweza kufanywa na mtu mwenye stashahada au shahada ya kwanza, malipo ni matokeo ya kazi na sio elimu. Elimu inakusaidia kutekeleza majukumu yako.
👏👏🙏🏿
 
Ninavyojua mimi ukipata masters kwanza unapewa ka 'hongera' kwa kupewa double increment.

Lakini pili, bila kuwa na masters hawezi kupanda cheo cha kiutumishi kufika level ya 'afisa mkuu', utakwama kwenye 'afisa mwandamizi'

Na tatu, kwenye taasisi nyingi za umma hauwezi kupata cheo cha kiuongozi (mfano meneja au mkurugenzi) kama hauna sifa hiyo ya elimu ya uzamili pamoja na sifa nyingine.

Zaidi ya hapo unataka nini?? Kazi nyingi serikalini zinaweza kufanywa na mtu mwenye stashahada au shahada ya kwanza, malipo ni matokeo ya kazi na sio elimu. Elimu inakusaidia kutekeleza majukumu yako.
Watanzania wengi wanasoma ili kupata kazi na wanafanya kazi ili kupata mshahara.
 
SERIKALI SIKIVU YA Rais Samia Suluhu Hassan

"Tunaomba ianze kuitambua Elimu ya Shahada ya Pili kwenye Utumishi wa umma kwa kuiwekea Salary scale"

Africa pote Masters degree inatambulika kasoro Tz tu. Asante.
Sawa. Ila tunafikiri UTENDAJI WAKO WA KAZI, UWAJIBIKAJI NA KITIMIZA TARGETS KAZINI KUTAKUFANYA UPATE MSHAHARA MNONO!
kuwa na elimu na vyeti lukuki havina maana kama wewe ni mvivu, huna ubunifu, mlevi, wachelewa kazini, kucheza na simu muda wote, breaks zako kazini ni nyingi na masaa, kuhudhuria misiba lukuki na nini, hapo hata uwe na PhD's milioni hutafikirika kupata mshahara mkubwa!
 
Ninavyojua mimi ukipata masters kwanza unapewa ka 'hongera' kwa kupewa double increment.

Lakini pili, bila kuwa na masters hawezi kupanda cheo cha kiutumishi kufika level ya 'afisa mkuu', utakwama kwenye 'afisa mwandamizi'

Na tatu, kwenye taasisi nyingi za umma hauwezi kupata cheo cha kiuongozi (mfano meneja au mkurugenzi) kama hauna sifa hiyo ya elimu ya uzamili pamoja na sifa nyingine.

Zaidi ya hapo unataka nini?? Kazi nyingi serikalini zinaweza kufanywa na mtu mwenye stashahada au shahada ya kwanza, malipo ni matokeo ya kazi na sio elimu. Elimu inakusaidia kutekeleza majukumu yako.
Mzalendo Uchwara nimeona Una kitu!
Lakini Nijuavyo mimi hata hiyo Master ya Kuwa Afisa Mkuu Nadhani sio master yeyote!
Mfano Mtu Amesoma bachelor ya Mechanical Engineering Au Bachelor of Medicine inabidi Usome Master of Medicine?
Huwezi Ukatambulika ukisoma master tofauti na Ulichosomea awali!
Sijui Kwanini huu utaratibu Upo hivo.
Kuna Jamaa yangu Mmoja alisoma Bachelor of Science in electrical Engineering,
Sasa ili Apande Afisa Mkuu kaambiwa Asime Master of Electrical Engineering, hivyo ndivyo Utumishi wanaamimi Unakuwa!
Sijui Wewe una mawazo gani?
 
Leteni mabadiriko kwanza ya hizo shahada mlizo nazo.

Sio mnawaza hela tu.
Mabadiliko yaliyoletwa na shahada ni pamoja na Ujenzi wa SGR, stiger goggle, Fly over.
Ili tutengeneze Rocket 🚀 tunahitaji tuwe na masters kwanza.
 
Back
Top Bottom