Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

Tuliza spika kwa shemeji dada akisafiri ibanduliwe unataka ligi asubuhi njaa zinakusumbua macho hayana nguvu ya kusoma na ubongo kutafsiri kwakua njaa imekukaba uombe dada hela katafute mihogo kwanza ili akili zikae sawa now unaweza pandisha kichaa chako kila na hivi hujameza dawa basi tafrani
Unawaza kula tu na kupiga umbea
 
Jamaa anasikitisha sana

Huyo ndio msomi wa mastazi hawezi hata kujenga hoja, mastazi my foot

Bora hata PhD ya Babu Tale inaleta tija pale wasafi
Oya mchiz habar za huko veta...Ila Najua tu hauko veta unachomela vyuma sehemu. Poa mwana naona Leo una bando, haya karibu, vp wenye masters walipwe/wasilipwe? endelea....
 
Jamaa anasikitisha sana

Huyo ndio msomi wa mastazi hawezi hata kujenga hoja, mastazi my foot

Bora hata PhD ya Babu Tale inaleta tija pale wasafi
Huyo mwenzako 92 jerr ni mtoto wewe ni mkubwa sema tu unakula Sana majani ndo maana sometimes unakuwa na mizuka syo.
 
Nimeuliza mwenye Masters ya education atafanya nini Cha ajabu sana compared to mwenye degree ya education?
Unamanisha nini unaposema atafanya nini Mkuu wangu?

Unataka kusema kuwa Competence ya mtu mwenye Masters inaweza kuwa sawa na mtu mwenye Bachelor?

Kama mtu mwenye Masters kwa Bongo hana utofauti na mwenye Bachelor kwenye field ya Education basi tufanye mapitio upya ya structure yetu ya Elimu kwa Bongo.

Mie kwa ufahamu wangu, mtu mwenye Masters yoyote hawezi kuwa sawa na mtu mwenye Bachelor kwenye field yoyote.

Kadri unavyosoma ndivyo unavyoongeza ubora wako ktk eneo hilo. Ubora katika nyanja karibia zote. Iwe critical thinking, writing skills, communication skills, analytical skills, leadership skills nk.

Mie sijasoma Education wala sijasoma Masters Bongo. Ila sitaki kuamini kuwa Masters ya Education kwa Bongo haimfanyi mtu kuwa na impacts kwenye career yake. Sitaki kuamini hilo. Labda iwe Masters za mchongo mnazosema watu wanaandikiwa mpaka Thesis na wanatoa rushwa ili wamalize shule.

Ila kama kasoma mwenyewe na akafaulu kabisa. Hawezi kubakia kama alivyokuwa wakati akiwa na Bachelor. Hata kwenye ufundishaji wake ( endapo ataendelea kufundisha huko Secondary) ni lazima uwe wa tofauti. Usipokuwa wa tofauti basi alipata Masters ya Mchongo.

Ni hayo tu mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe tuna watu wana mastazi mbona utendaji ni wa kiwango cha form 4 tuonyesheni kwanza uwezo wenu tuyaone mabadiliko ndipo muombe mishahara awamu ya sita tunalipa kulingana na unachokifanya
Uwezo wa kiutendaji anaanza kuuona boss/mwajiri. Yeye ndiye anatoa maelekezo ya kazi kwa mwajiriwa wake kisha anapima ufanisi wa utekelezaji
 
Sawa mtu mzima unaeshindana na shemeji yako kununua topaz za kunyolea ndevu utachokwa tafta kazi ufanye
Ila ww bado akili teketeke Sana. Tunapata tabu kuelewesha watu hawaelewi kumbe tunaongea na vitoto
 
Uwezo wa kiutendaji anaanza kuuona boss/mwajiri. Yeye ndiye anatoa maelekezo ya kazi kwa mwajiriwa wake kisha anapima ufanisi wa utekelezaji
Inamaana hata hao ma boss elimu zao ni kwenye vyeti hawajui kupima hata kiwango cha ufanisi
 
Ki bongo bongo tuendelee kulipana kwa kujuana na kwa level za uchawa basi hayo mambo ya elimu hayana manufaa wapo watu kibao wana elimu za chini ila wanaongoza kwa ubora wa kazi.
 
Ki bongo bongo tuendelee kulipana kwa kujuana na kwa level za uchawa basi hayo mambo ya elimu hayana manufaa wapo watu kibao wana elimu za chini ila wanaongoza kwa ubora wa kazi.
Mbona unaonekana mtoto halafu kusoma hupendi...hujui utaiathr hata familia yako haitapenda kusoma Kama ww, una uswahili mwingi sana Bora hata Da husler
 
Huyu jamaa tatizo lake ni kubwa sana. Sasa watu kama hawa ni kuwafutia TU usajili kuokoa forum

Hivi hajui tofauti ya degree na masters ambazo kwa ligha pendwa ya kiswahili zinaitwa shahada na uzamili???

Aiseh wakati mojawapo kati ya hizo inamtengeneza wenzake bila shida

Aiseh!!!
Tanzania Masters zenye tija ni za Afya tu mostly hizi nyingine hamna kitu Cha maana sana
 
Back
Top Bottom