Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

Unamanisha nini unaposema atafanya nini Mkuu wangu?

Unataka kusema kuwa Competence ya mtu mwenye Masters inaweza kuwa sawa na mtu mwenye Bachelor?

Kama mtu mwenye Masters kwa Bongo hana utofauti na mwenye Bachelor kwenye field ya Education basi tufanye mapitio upya ya structure yetu ya Elimu kwa Bongo.

Mie kwa ufahamu wangu, mtu mwenye Masters yoyote hawezi kuwa sawa na mtu mwenye Bachelor kwenye field yoyote.

Kadri unavyosoma ndivyo unavyoongeza ubora wako ktk eneo hilo. Ubora katika nyanja karibia zote. Iwe critical thinking, writing skills, communication skills, analytical skills, leadership skills nk.

Mie sijasoma Education wala sijasoma Masters Bongo. Ila sitaki kuamini kuwa Masters ya Education kwa Bongo haimfanyi mtu kuwa na impacts kwenye career yake. Sitaki kuamini hilo. Labda iwe Masters za mchongo mnazosema watu wanaandikiwa mpaka Thesis na wanatoa rushwa ili wamalize shule.

Ila kama kasoma mwenyewe na akafaulu kabisa. Hawezi kubakia kama alivyokuwa wakati akiwa na Bachelor. Hata kwenye ufundishaji wake ( endapo ataendelea kufundisha huko Secondary) ni lazima uwe wa tofauti. Usipokuwa wa tofauti basi alipata Masters ya Mchongo.

Ni hayo tu mkuu.
  • Ndio Kuna watu wana bachelor wako competent kuliko Wenye Masters
  • tofauti kuu iliyopo mostly Kati ya mwenye degree na masters ya education mostly ni vyeti tu sana sana
  • Tena kwenye ufundishaji wenye Masters Wengi wao uwezo sio mkubwa,
 
E mkkkkkmmmmmmmmmkkmkkkkkkmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm(fmtrrrrrrrm
Walioanzaga kazi na diploma mtawaua[emoji1787] wametoka kushurutishwa wakasome bachelors ndo kwanza wengine wametambulika vizuri makazini unataka wakaanze tena kusoma na vitoto hizo masters. Mtawaua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha tu mkuu
Mmmmmmm
 
  • Ndio Kuna watu wana bachelor wako competent kuliko Wenye Masters
  • tofauti kuu iliyopo mostly Kati ya mwenye degree na masters ya education mostly ni vyeti tu sana sana
  • Tena kwenye ufundishaji wenye Masters Wengi wao uwezo sio mkubwa,
Kama unachosema ni kweli, basi tupitie upya mfumo wa Elimu ya Bongo..
Na kwanini mwenye Bachelor awe na uwezo mkubwa kuliko mwenye Masters? Kwani kabla, si hata mwenye Masters alianza kuwa na Bachelor kwanza? Kwahiyo unataka kusema mfumo wa Elimu Bongo unamfanya mtu awe incompetent kadri anavyosoma zaidi, si ndio?

Mie sijasoma Masters Bongo, ila Bachelor nilisoma Bongo. Kwahiyo sifahamu kwa undani zaidi kinachofundishwa kwenye Masters kwa Bongo. Nikijilinganisha sasa na nilivyokuwa na Bachelor najiona tofauti. Tofauti kwenye ku-argue, writing skills, communication skills, analytical skills, critical thinking, time management pamoja na soft skills nyingine nyingi tu.

Zaidi ya yote, kwenye career yangu, kwenye Mastes nimejifunza vitu vingi sana ambavyo sikuwahi kuvijua wakati nina Bachelor. Naweza kusema, utendaji wangu wa kazi kwa sasa hauwezi kulingana na ule wa kipindi kile nina Bachelor.
 
Kuliko kusoma Masters ya education ni bora uanze kusoma NBAA Hadi ufikie CPA T
Kwani Mkuu wewe hiyo Masters ya Education umeisoma? Na umetumia mbinu gani kuwapima graduates wa Masters kuwa wapo incompetent ukilinganisha na wenye Bachelor?
 
Kama unachosema ni kweli, basi tupitie upya mfumo wa Elimu ya Bongo..
Na kwanini mwenye Bachelor awe na uwezo mkubwa kuliko mwenye Masters? Kwani kabla, si hata mwenye Masters alianza kuwa na Bachelor kwanza? Kwahiyo unataka kusema mfumo wa Elimu Bongo unamfanya mtu awe incompetent kadri anavyosoma zaidi, si ndio?

Mie sijasoma Masters Bongo, ila Bachelor nilisoma Bongo. Kwahiyo sifahamu kwa undani zaidi kinachofundishwa kwenye Masters kwa Bongo. Nikijilinganisha sasa na nilivyokuwa na Bachelor najiona tofauti. Tofauti kwenye ku-argue, writing skills, communication skills, analytical skills, critical thinking, time management pamoja na soft skills nyingine nyingi tu.

Zaidi ya yote, kwenye career yangu, kwenye Mastes nimejifunza vitu vingi sana ambavyo sikuwahi kuvijua wakati nina Bachelor. Naweza kusema, utendaji wangu wa kazi kwa sasa hauwezi kulingana na ule wa kipindi kile nina Bachelor.
  • nani kamwambia kuwa Kila Mtu Yuko competent kutokana na alikuwa na degree ya hicho kitu? Kingine Masters hizo unakuta wanajifunza vitu vya degree ila Kwa undani lakini wengi wao hawana hizo deep skills except watu wa Afya wale kweli wako Competent ukikuta mtu ni daktari bingwa wa watoto (pediatrician) ni Daktari bingwa kweli kweli sio Kama kwenye education, mtu anasoma Curriculum development lakini ukimpa achambue hata sera ya Elimu ya Tanzania anababaisha hayuko competent.
  • kwani writing skills ni hadi uwe na Masters? Communication skills ni Lazima uwe na masters? kwenye ku- argue ni Lazima uwe na masters?, Hizo skills hata wenye diploma wengi wanazo ni normal skills, unaweza ukajifunza tu si Lazima usome masters
  • Umesoma masters ya Nini?
 
Kwani Mkuu wewe hiyo Masters ya Education umeisoma? Na umetumia mbinu gani kuwapima graduates wa Masters kuwa wapo incompetent ukilinganisha na wenye Bachelor?
Masters ya education Haina impact na Ndio maana hata Serikali haiitambui, jiulize kwa Nini masters ya medicine inatambulika Lakini ya education haitambuliki? Jibu ni kwamba Haina impact
 
  • nani kamwambia kuwa Kila Mtu Yuko competent kutokana na alikuwa na degree ya hicho kitu? Kingine Masters hizo unakuta wanajifunza vitu vya degree ila Kwa undani lakini wengi wao hawana hizo deep skills except watu wa Afya wale kweli wako Competent ukikuta mtu ni daktari bingwa wa watoto (pediatrician) ni Daktari bingwa kweli kweli sio Kama kwenye education, mtu anasoma Curriculum development lakini ukimpa achambue hata sera ya Elimu ya Tanzania anababaisha hayuko competent.
  • kwani writing skills ni hadi uwe na Masters? Communication skills ni Lazima uwe na masters? kwenye ku- argue ni Lazima uwe na masters?, Hizo skills hata wenye diploma wengi wanazo ni normal skills, unaweza ukajifunza tu si Lazima usome masters
  • Umesoma masters ya Nini?
Sitaendelea kukujibu Mkuu. Ahsate. Nikutakie siku njema.
 
Hujui faida za kusoma, kama digrii ya kwanza ilivyo muhimu na degrii ya pili na tatu ni hivyo hivyo! digrii ya kwanza kwa hali ya kawaida huwezi kuwa sawa na mwenye digrii ya pili katika eneo husika
Mjinga wewe na wewe hapo ndio unajiita msomi?
 
Mjinga wewe na wewe hapo ndio unajiita msomi?
Kwani na ww una masters? mbona naona unawakandia Sana watu wenye masters hebu jaribu ku-download hata prospectus ya chuo chochote usome muundo masters upoje mpaka fee structure....
•heshima Sana kwa wenye masters
 
Kwani na ww una masters? mbona naona unawakandia Sana watu wenye masters hebu jaribu ku-download hata prosperous ya chuo chochote usome muundo masters upoje....
heshima Sana kwa wenye masters
Kwa sababu hakuna mahala popote panaponesha masters inaongoza Tija kwenye uzalishaji,hakuna.
 
Kwani na ww una masters? mbona naona unawakandia Sana watu wenye masters hebu jaribu ku-download hata prospectus ya chuo chochote usome muundo masters upoje mpaka fee structure....
•heshima Sana kwa wenye masters
Tanzania hii wenye heshima ni CPA,,
 
Back
Top Bottom