DOKEZO Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

DOKEZO Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
mbona umejibu kwa mihemuko sana...vipi ndugu?? kwani umelipwa shingapi ?? hakuna ovu litakalo dumu milele. maisha ni natural scince. tulia usipate heat sana beyond ur heating capacity...uta melt.
VETA Chang'ombe ulimaliza mwaka gani?
 
Huna hoja ya msingi. Channels za kupeleka malalamiko kama haya zipo, tena rasmi kabisa na kisheria, kwanini usifuate hizo unakuja kujificha nyuma ya fake ID hapa? Ungekuwa umeshafuata channels hizo ikashindikana ningekuelewa. Kwa sasa unachofanya ni majungu tu. Na tabia mojawapo ya majungu na umbea ni kwa msemaji kupenda kujificha na kuongelea vichakani na mivunguni.
Under cover ID au masked ID ni kitu cha kawaida sana katika kufikisha ujumbe kwa hadhira kubwa. Naona unakuja na hoja ya majungu unashindwa pangua hoja zilizowekwa mezani. Kafanye utafiti halafu urudi kuongea kwa hoja. Hiki sio kijiwe cha umbea. Njoo na facts tuzungumze facts, unamdhalilisha bossi wako...be humble...kuwa tayari kujifunza. Rudi kwa aliyekutuma umtetee akupe data.
 
Malalamiko ya madaktari na wauguzi yanawasababishia msongo wa mawazo na kuathiri ufanisi katika kazi. Bila mamlaka kujitokeza na kuchukua hatua kunusuru taaluma hii adhimu yatatokea ya Muhimbilli pale...tutaanza kupasuliwa kichwa badala ya mguu.

Madai haya ni mazito
 
Huna hoja ya msingi. Channels za kupeleka malalamiko kama haya zipo, tena rasmi kabisa na kisheria, kwanini usifuate hizo unakuja kujificha nyuma ya fake ID hapa? Ungekuwa umeshafuata channels hizo ikashindikana ningekuelewa. Kwa sasa unachofanya ni majungu tu. Na tabia mojawapo ya majungu na umbea ni kwa msemaji kupenda kujificha na kuongelea vichakani na mivunguni.
Lazima utakuwa mnufaika wewe, tulia JPM aipate hii taarifa aunde timu ya kuchunguza ukweli utajulikana kama ni majungu tutajua we tuliza munkari yako. Ukileta ujuaji humu JF kuna watu wanajua zaidi yako, ukileta kejeli humu kuna watu wanajua maradufu.
Tuliaaaa
 
Wewe na huyo mwenzio ni walewale wapika majungu. Mnashindwa nini kupeleka malalamiko rasmi kwa njia rasmi na badala yake mnakuja kujificha hapa kwa fake ID?
Unaweza kuandika barua rasmi ya kiofisi kwenda kwa waziri wa afya na nakala ukaituma ofisi ya Rais, tafadhali iandike kwa utulivu na uweke mapendekezo na ukiukwaji wote wa kitabibu unaosababishwa na uongozi mbovu pamoja na mianya ya uhujumu kwa wateja.
 
Ukanda wa Pugu road ni ukanda wenye makampuni na mashirika mengi mno yanayotosha kabisa kuifanya hospitali hiyo kuendesheka pia kupunguza idadi ya wagonjwa wanaotoka Kipawa, Vingunguti kuja Amana. Naishauri serekali ilione hili na irudishie heshima yake hospitali hii ikiwa pia ni katika kumuenzi baba wa taifa letu mwl. J.K Nyerere
 
under cover ID au masked ID ni kitu cha kawaida sana katika kufikisha ujumbe kwa hadhira kubwa. naona unakuja na hoja ya majungu unashindwa pangua hoja zilizowekwa mezani. kafanye utafiti halafu urudi kuongea kwa hoja. hiki sio kijiwe cha umbea. njoo na facts tuzungumze facts. unamdhalilisha bossi wako ...be humble...kuwa tayari kujifunza. rudi kwa aliyekutuma umtetee akupe data.
Hujaweka facts zozote hapa zaidi ya kulialia na kutaka uhalalishiwe uvivu wako. Hebu taja kwanza taaluma yako, tuanzie hapo.
 
Acha majungu dogo. Husipofuata standard Treatment Guideline NHIF hawawezi kukulipa.

Halafu siyo kweli kwamba STG ina matibabu yote hiyo ni guideline ambayo baadhi ya maeneo ipo very shallow. Wewe utakuwa ni miongoni wa madaktari wazembe, mpenda majungu kwenye hiyo hospital.
No such an evil [work with no confidence] and workers mistreated well
 
Hujaweka facts zozote hapa zaidi ya kulialia na kutaka uhalalishiwe uvivu wako. Hebu taja kwanza taaluma yako, tuanzie hapo.
mimi ni fundi magari kutoka VETA ndugu msomi. nisamehe kwa uandishi wangu duni na kulialia. ni njaa tu na wivu ndo unanisumbua ndugu msomi.
 
Lazima utakuwa mnufaika wewe, tulia JPM aipate hii taarifa aunde timu ya kuchunguza ukweli utajulikana kama ni majungu tutajua we tuliza munkari yako.
Ukileta ujuaji humu JF kuna watu wanajua zaidi yako, ukileta kejeli humu kuna watu wanajua maradufu.
Tuliaaaa
Kwahiyo unajiamini kabisa kuwa umeandika taarifa inayoweza kumfikia JPM?
 
Unaweza kuandika barua rasmi ya kiofisi kwenda kwa waziri wa afya, na nakala ukaituma ofisi ya raisi tafadhali iandike kwa utulivu na uweke mapendekezo na ukiukwaji wote wa kitabibu unaosababishwa na uongozi mbovu pamoja na mianya ya uhujumu kwa wateja.
Exactly, wewe ndio umetoa ushauri mzuri. Lakini kwa kuwa mleta mada shida yake ni majungu tu, hatofuata ushauri huu.
 
Exactly, wewe ndio umetoa ushauri mzuri. Lakini kwa kuwa mleta mada shida yake ni majungu tu, hatofuata ushauri huu.
una primitive thinking sana bossi wangu...ila pole maana pameguswa panapouma uma...lazima upige kelele. huwezi kutulia.
 
mimi ni fundi magari kutoka VETA ndugu msomi. nisamehe kwa uandishi wangu duni na kulialia. ni njaa tu na wivu ndo unanisumbua ndugu msomi.
Afadhali sasa umejielewa. Sasa jitulize, kama una hoja kaa chini uiandike vizuri na ushahidi wote ulionao pamoja na vielelezo kama unavyo, upeleke panapohusika kwa utaratibu rasmi kabisa, utaona matokeo mazuri. Vinginevyo huku kwenye fake ID utatupiwa madongo tu.
 
una primitive thinking sana bossi wangu...ila pole maana pameguswa panapouma uma...lazima upige kelele. huwezi kutulia.
Wewe ndiye unayeweweseka mtandaoni na uandishi duni usio na hoja. Fuata ushauri mzuri uliopewa, vinginevyo utasugua gaga sana hapo Dar Group na certificate yako ya VETA.
 
Sasa hapa majungu ni yapi?na kwa nini wengine wanacharuka, mtoa mada ametoa yake yameeleweka na serekali itaanza kufuatilia ikiwa ni pamoja na kuhoji wafanyakazi wa hapo mahusiano yao baina ya viongozi na wafanyakazi mapungufu yaliyopo kuwafahamu wasimamizi sahihi wa hospitali hiyo na jinsi walivyopata nafasi hizo, ilimradi kubaini chochote kile kama kipo ili hatua zichukuliwe tena wakati huu mawaziri wanatafuta kweli mambo ya aina hii tuvute subira
 
Back
Top Bottom