Tunaomiliki magari ya mzungu tukutane hapa

Mimi gari yangu sio ya mzungu ni Mjep ila toka nimebadilisha fan belt inapiga kelele kweli lakni baadae inatulia
Sijui natatuaje hili tatizo nimebadilisha fan belt mara kwa mara lakni ola

Sent using Jamii Forums mobile app
Belt inaweza kuwa ndogo,kubwa au iko chini ya kiwango. Au angalia hali ya rollers(pulleys) na tensioner.
 
Kati ya V polo 1.4 & V golf gti ipi itanifaa kwa town trip ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niambie matumizi ya gia "M" yenye rangi nyekundu na hiyo + na - inamaanisha nini na kuna alama - kwenye N piaView attachment 1034491

Sent using Jamii Forums mobile app
M-Manual
+ Gear shift up
- Gear shift down
Yaani umiweka kirungu kwenye M hapo ukikishusha chini unaweka gear 1,2,3...manually na ukikipandisha juu - unapangua gear 5,4,3,2,1 manually
 
M-Manual
+ Gear shift up
- Gear shift down
Yaani umiweka kirungu kwenye M hapo ukikishusha chini unaweka gear 1,2,3...manually na ukikipandisha juu - unapangua gear 5,4,3,2,1 manually
Ukiweka kwenye + zinaanza kujipandisha zenyewe kadiri unavokanyaga mafuta au? Coz sijajua zinapandaje nakat we unakua umeweka + tu

Na je D iko pembeni kushoto au ipo pale kirungu kinapogonga kulia mwisho ilipo herufi D?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatakiwa kufanya kama unakigonga kirungu kuelekea chini(+) zinapanda. Ukigonga kuelekea juu(-) zinashuka. Unikigonga gear unabadilika then kinarudi position yake. D ni kushoto, ukiisukuma kulia kabisa ndio Manual hapo sasa unakigonga up and down kubadilisha gear manually
 
Vp kuhusu BMW Series 1 "116i, 118i, 120i"
Gharama za spare ipoje?
Mafundi wapo?
Service ya kawaida inaweza gharimu shilingi ngapi (oil, filters, etc?
Barabarani vp inatulia? Hasa kwa safari za mbali?
Je ni matatizo gani common kwa hzo gari? Vitu gani vinasumbua hasa kwa hzo gari?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka kwema, naomba unijuze kuhusu landrover discovery 2 2.5 td5 juu ya
1. Ulaji wa mafuta
2. Upatikanaji wa mafundi
4. Upatikanaji wa spea
5. Na gharama mpaka mkononi kutokea uingereza

Natanguliza shukrani kaka
 
Kaka Nina Mercedes Benz E class inasumbua Sana, nahisi Kama inanyonya betri tatizo litakuwa ni nini?

Vipi kuhusu hummer 3 spare Zake nahitaji Kununua this year

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama umefanya marekebisho kwenye system ya muziki, tafuta fundi mtaalam acheck tena wiring. Next time usiruhusu mafundi uchwara waguse gari la Ulaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…