Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... yapping one's yapper is very easy! TIME WILL TELL!Life zuri mlitafute kwa kufanya kazi na kusimamia ukusanyaji kodi na matumizi yake.
Over 60+ yrs bado mnatembeza mabakuli poor you!!!
Team Trump and Traore tupo pamoja, 👊Trump baba unajua, unajua sana.
Hongera zako! Kaza hivyo hivyo mpaka tuseme!
Mwenye email ya Trump aiweke kwenye comment, kuna jambo nataka nimwambie. 🥱
Uzi tayari!
Cha kufurahia ni.kitu gani Kwa trump!!!Trump baba unajua, unajua sana.
Hongera zako! Kaza hivyo hivyo mpaka tuseme!
Mwenye email ya Trump aiweke kwenye comment, kuna jambo nataka nimwambie. 🥱
Uzi tayari!
kile kinachokuchukiza wewe mheshimiwa🤗Cha kufurahia ni.kitu gani Kwa trump!!!
Zingatia u jumble uliojaa ukweli unsouma..
📌Bado hamjasema!!!Mnaye mkubali yeye hawakubali.
bado hamjasema,TRUMP lazima awafunze adabu!!!Mnaye mkubali yeye hawakubali.
Jibu sahihi kwa swali husikakile kinachokuchukiza wewe mheshimiwa🤗
Acha uongo kinacho waua ni vita waambie waache kupiganaWakimbizi wengi wanategemea USAID na WFP huko Sudan waafrika wenzetu wameanza kufa njaa.
Upo sahii mkuuTrump anaisaidia Africa ijitegemee misaaada ulemaza na inaua fikra za waafrika
Wanaopigana ni Wanasiasa wanaogombania madaraka raia wanateseka tu.Acha uongo kinacho waua ni vita waambie waache kupigana