Tunaomkubali Donald Trump tukutane hapa

Tunaomkubali Donald Trump tukutane hapa

Trump baba unajua, unajua sana.

Hongera zako! Kaza hivyo hivyo mpaka tuseme!

Mwenye email ya Trump aiweke kwenye comment, kuna jambo nataka nimwambie. 🥱

Uzi tayari!
Trump is an idiot ...
Yoda
 

Attachments

  • 5957088-cc92f64368ee2d422490943ff4ec8e1b.jpg
    5957088-cc92f64368ee2d422490943ff4ec8e1b.jpg
    4.5 KB · Views: 2
Trump baba unajua, unajua sana.

Hongera zako! Kaza hivyo hivyo mpaka tuseme!

Mwenye email ya Trump aiweke kwenye comment, kuna jambo nataka nimwambie. 🥱

Uzi tayari!
MWombe Putin wametoka kuongea hivi karibuni watakuwa wamebadilishana mawasiliano hata namba ya simu utapata.
 
Mzee Bernie Sanders kaamua kufunguka kwa yanayoendelea kufanywa na Elon.

hao poorest children wana serikali zao ni muda sasa zianze kuwajibika mzee Bernie
View attachment 3227904
Kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake,kwa uamuzi huu,vita itakoma duniani kote,kwani wakishakula wakishiba huwa wengine wanatafuta wapi wapimie ubavu.
 
Kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake,kwa uamuzi huu,vita itakoma duniani kote,kwani wakishakula wakishiba huwa wengine wanatafuta wapi wapimie ubavu.
Democrats wamekuwa wakichochea machafuko sehemu nyingi sana duniani na sera zao za kiglobalist na kujifanya wanatetea demokrasia
 
Trump bomaye, hahaha! Tuliokuwa tunapenda CNN, BBC, ABC, MSNBC, New York Times....na takataka zingine kwa jina big media house tuhamie X maana kumbe huwa tunalishwa makapi kwa manufaa yao!

Elon na Trump wametuondolea vifungo vya kuwa misukule!
Good. Ili mjiunge na Trump na Musk kuishi kwenye disinformation space.

Manake X walishaondoa fact-check ili kuimarisha uhuru wa kuji-express.
 
Back
Top Bottom