dogo kubwa
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 798
- 695
Ni ukweli usiopingika kuwa msanii diamond platnumz ametuletea heshima kubwa nchini kitaifa na kimataifa.
Binafsi naona toka ametoka kuzindua miaka 10 ya diamond kwao kigoma, kuna jambo haliko sawa, ni kama kila analogusa halitoi majibu chanya.
Aidha ni kwakuwa Yope ilifunika sana so tunahukumu kutokana na yope, au ameingia kwenye biashara umakini unapingua kwenye sanaa ama vipaji vinaibuka kwa kasi.
Tukubaliane kuwa Diamond wa *I miss you* , *number one*, *iyena* sio huyu leo, kama kapoteza mvuto, aidha kiwango kimeshuka, hili nakiona toka atoke kigoma.
Siongei kwa unafiki, na appriciate juhudi kubwa amezofanya but naona kuna jambo haliko sawa, maana pia amekuwa na upinzani mkubwa kati yetu Watanzania tofauti na zamani, au kwakuwa amejiingiza kwenye siasa.
Ni kweli alipokuwa na zari, alivutia kuliko alivyokuwa na huyu Mkenya.
Tumsaidie vipi kijana wetu, ili atumikie vizuri zaidi kipaji chake, nasi tuendelee kuburudika kwa kazi zake.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naona toka ametoka kuzindua miaka 10 ya diamond kwao kigoma, kuna jambo haliko sawa, ni kama kila analogusa halitoi majibu chanya.
Aidha ni kwakuwa Yope ilifunika sana so tunahukumu kutokana na yope, au ameingia kwenye biashara umakini unapingua kwenye sanaa ama vipaji vinaibuka kwa kasi.
Tukubaliane kuwa Diamond wa *I miss you* , *number one*, *iyena* sio huyu leo, kama kapoteza mvuto, aidha kiwango kimeshuka, hili nakiona toka atoke kigoma.
Siongei kwa unafiki, na appriciate juhudi kubwa amezofanya but naona kuna jambo haliko sawa, maana pia amekuwa na upinzani mkubwa kati yetu Watanzania tofauti na zamani, au kwakuwa amejiingiza kwenye siasa.
Ni kweli alipokuwa na zari, alivutia kuliko alivyokuwa na huyu Mkenya.
Tumsaidie vipi kijana wetu, ili atumikie vizuri zaidi kipaji chake, nasi tuendelee kuburudika kwa kazi zake.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app