kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,745
- 1,989
Kama mada yako haujaileta kwa milengo ya kisiasa/kichama, nachangia kama ifuatavyo;
Kitu nitachoelewa ni kwamba chama cha siasa kinapata rudhuku kadili kinapokuwa na idadi kubwa ya wabunge sina uhakika kama CCM itakuwa imepoteza kuliko kugain.
Lakini pia si mkakati wa kubeza kwa sababu:
1. Imani ya kuchaguliwa kwa chama ambacho mbunge wake amekwenda upande wa pili kuunga juhudi inapungua kutoka kwa wapiga kura.
2. Inaondoa morali miongoni mwa wanachama wa chama cha siasa.
NOTE:
1. SIASA NI SEKTA YA AJIRA KAMA ZILIVYO SEKTA ZINGINE SUALA LA KUANGALIA PROFIT AND LOSS HALIEPUKIKI NA KAMA TUNAVYOONA BAADHI YA WAGOMBEA WAKIJIENGUA NA KUMUACHA MWINGINE KUPITA BILA KUPINGWA.
Kitu nitachoelewa ni kwamba chama cha siasa kinapata rudhuku kadili kinapokuwa na idadi kubwa ya wabunge sina uhakika kama CCM itakuwa imepoteza kuliko kugain.
Lakini pia si mkakati wa kubeza kwa sababu:
1. Imani ya kuchaguliwa kwa chama ambacho mbunge wake amekwenda upande wa pili kuunga juhudi inapungua kutoka kwa wapiga kura.
2. Inaondoa morali miongoni mwa wanachama wa chama cha siasa.
NOTE:
1. SIASA NI SEKTA YA AJIRA KAMA ZILIVYO SEKTA ZINGINE SUALA LA KUANGALIA PROFIT AND LOSS HALIEPUKIKI NA KAMA TUNAVYOONA BAADHI YA WAGOMBEA WAKIJIENGUA NA KUMUACHA MWINGINE KUPITA BILA KUPINGWA.